Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Na bado anadai wabunge wa Tanzania wanalipwa kidogo kulinganisha na wabunge wa Kenya na hata South africa! anacheza huyu mbona halinganishi kima cha chini cha watanzania na hizo nchi?
Huyu ananuka ufisadi its time to go....

Yego Masatu

Naona leo umeamua kumkoma nyani kwetu....ni muda mrefu nilikuwa sijasoma point toka kwako...safi sana mazee welcome to the club...!
 
Wapambe wa mafisadi wanapomtuhumu mwenzao aliyehasi yetu macho mtatafunana sana mwaka huu
 
Hakuna jipya hii mada imewahi kujadiliwa mwaka jana, GT ulikuwa wapi wakati hii mada inajadiliwa ?
 
Jamani hii sasa ni nafasi nzuri kwetu hasa wana JF pamoja na vyombo vya habari kumshinikiza SPIKA wetu aachie ngazi.
No. Kabla hatuaanzisha shinikizo hilo ni vema kwanza tuhuma hizi zikathibitishwa. Itakuwa ni uonevu kuanza kushinikiza mtu ajiuzulu kwa tuhuma tu, tukianza mchezo huo, hakuna atakayebakia kwenye nafasi yake
 
Jamani hii sasa ni nafasi nzuri kwetu hasa wana JF pamoja na vyombo vya habari kumshinikiza SPIKA wetu aachie ngazi. Alichokisema Dk. Slaa kuhusu marupurupu ya wabunge yanavyowakaba walalahoi yafanyiwe kazi. Jamani nchi inaendeshwa kihuni hivi mpaka lini? Tutaendelea kullalamika mpaka lini? Wakati ni huu tusimame kidete kupigania maisha bora kwa walalahoi wa nchi hii na si maisha bora kwa makabwela kama kina Spika Martin. Tazama huko Tarime watu wanakunywa maji yenye sumu kwa expense ya utajiri wetu wa madini na hamna tunachofaidi !!!!! Huu ndio wakati wa kutumia nguvu ya umma kuwaondoa hawa mafisadi!!!!! ALUTA CONTINUA!!!! NIGER DELTA WAMEANZA TUNASUBIRI NINI?


Hahahaha kuna watu wengine wanachekesha duh,, kwa kweli kwa hili leo ndo nimeamini kuwa wewe ni Comrade Mpayukaji original, yaani we si wa kucopy na kupaste duh....
 
Hizi tuhuma za matumizi mabaya kwenye ofisi ya sitta, CAG ameshaisemea na kuclear hii issue kwa kusema vitabu vya mahesabu ya ofisi ya spika ni safi. Fuatilieni ripoti ya Utouh.

Hizi tuhuma zimepitwa na wakati, labda hicho kipengele cha kuongeza mishahara ya wabunge.
 
sitta1(2).jpg


Spika wa Bunge letu bwana SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA anatuhuma za kutumia vibaya pesa za umma kwa njia mbali mbali kama vile:

Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=).

Alishindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.


- SITTA aliwahi kupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.


- Aliwahi kulazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!


- Aliwahi kuwa na kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye aliiishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote alikuwa akitumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.


- Pia anaye kimada mwingine ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo alikuwa anatumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.


- Vimada wote hao walikuwa wanapata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.


- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!


- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha magogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

Katika kutaka ukubwa basi amedemand apewe ulinzi sawa na SHEIN alipoambiwa hilo haliwezekani basi alidai apewe escort na magari,mapiki piki na vingora yote kwa ajili yake na kwa gharama za walalahoi

kwa kumalizia tuuu tusisahau kuwa huyu amekuwa kigingi kikubwa when it comes to transparency kwani kamati mabali mbali huyu SITTA amekuwa hataki ripoti zake ziwe kwenye public domain...hivyo hata suala zima la check and balances linakuwa na utata mkubwa sana.


michael-martin_1404212c.jpg

Huyu naye ni fisadi na resignation yake imetokana na presha kubwa baada ya ile listi ya matumizi ya wabunge kuwa LEAKED kwenye JF ya dunia yaani WIKILEAKS...mnaweza kuigoogal


Lakini in a nutshell huyu anatuhumiwa kwa yafuatayo:

Source:MPs' expenses: the demise of Speaker Michael Martin - Telegraph


Halafu what is it na hawa na MSPIKA na mijumba na ofisi za Kifahari? Maana SAMUEL SITTA ile ofisi yake na ofisi aliyoojenga BALALI zinafukuzana sema ya SITTA imejaa madubwana mengi kama ile ya MARDOFF wa upatu

of course yote kwa hisani ya Tax payers money



Lakini itakuwa si vibaya kujikumbusha huko tulikotoka....



maelezo zaidi kwa hisani ya mzee wa busara



JAMII FORUMS..WHERE WE DARE TALK OPENLY!!



Wazazi wangu waliponambia kuwa uyaone nilifikiri Maghorofa kumbe ni haya ninayoyaona sasa, Watu kuuza utu wao kununuliwa na watu wenye nia mbaya na nchi hii na kuamua kuchafua wale ambao wanaonekana ni mwiba kwa mafisadi dah, ni aibu sana kuja hapa JF na kuanza kutoa maneno ambayo ukiambiwa utoe ushahidi wake unakaa kimya pasipo na sababu za msingi, hebu kuweni na huruma kidogo jamani na mkumbuke kuna watanzania wanaohitaji msaada wa hali na mali kutoka kwenu ambao angalau mnaweza mkashika keyboard na kutoa hoja kuliko kukubali kununuliwa ili kusafisha watu fulani fulani pasipo na sababu za msingi,, hamkawii kuipeleka hii hoja kwenye udini maana mtasema mbona anayesemwa ni muislam tumemsema mkristo wanalalamika la hasha, hapa tungependa kuona hoja zenye ukweli si hoja ambazo hazina uthibitisho. Awe mkristo awe muislamu kama kuna ushahidi basi atakemewa kwa nguvu zote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WANYONGE WAKE WOTE AMBAO WANASHINDIA MLO MMOJA WHILE MAFISADI WANAKIMBIZA PESA NJE YA NCHI. AMEN
 
Huyu GT bila shaka bado anasumbuliwa kwa kufanya vibaya kwa Arsenal -- mwaka wa nne bila taji lolote.

Kwa vile Spika wa Uingereza kajiuzulu kwa kashfa ya kuapprove malipo ya claim hewa za wabunge ndiyo kapatia kauhalali na hivyo kijisababu cha kuchomeka kithread chake hapa -- mada ambayo ilishajadiliwa kwa kina.

Alete ushahidi wa tuhuma zote alizotaja ama sivyo aache kupayuka ovyo kwa niaba ya wezi wakuu wa taifa hili.
 
..lakini Spika Samuel Sitta ni fisadi tangu alipokuwa waziri wa ujenzi miaka ya 80 na 90. baadaye akahamishiwa wizara ya ustawishaji makao makuu Dodoma na kuendeleza ufisadi wake.

..katika masuala ya ngono ndiyo usiseme kabisa.
 
..lakini Spika Samuel Sitta ni fisadi tangu alipokuwa waziri wa ujenzi miaka ya 80 na 90. baadaye akahamishiwa wizara ya ustawishaji makao makuu Dodoma na kuendeleza ufisadi wake.

..katika masuala ya ngono ndiyo usiseme kabisa.


Na we nawe ndo wale wale.... Leteni ushahidi hapa sio bla bla tu ilimradi muongeze idadi ya post
 
Rostam anajitahidi... hadi kurecycle pseudo news... ujumbe ni kuwa Sitta anawasubiri Bungeni..!!!
 
inaelekea huyu Sitta naye ni mtazamaji sana wa hii forum

kuandikwa jana leo kajibu

sasa hii ndio tunavyotaka
 
mwenzie keshajiuzulu

Kwa bongo ndugu yangu hata akutwe na gunia la mali ya wizi bado inakuwa ngumu... Tatizo ni culture ya good goernance and accountability bado tunajikongoja

Tukienda kwa staili hiyo nadhani itabidi tupitie na matumizi ya wabunge (if are serious on accountability) wote na liquidations/claims zao... utaona wote wanajipanga nyuma ya spika
 
Back
Top Bottom