LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 457
- 1,718
Kwenye maisha ya mahusiano Mara nyingi hutokea watu wakakutana na hawajuani wala hakuna mwenzake ana fahamu mwenzake kakuaje au kapitia maisha gani,
Ni Mara chache sana hutokea wakakutana au kuoana waliokulia sehemu moja na kujuana,
Mm kuna baadhi ya tabia ambazo nilimkuta nazo mke wangu na nimeweza kumbadilisha,
Mfano:
Alikuwa anapenda kuvaa suruali lakini sasa havai tena baada ya Mimi kumwambia sipendi kumuona amevaa tu suruali pekee kwa sasa havai kabisa,
Pia alikuwa na asili ya uchoyo au ubinafsi hasa kwenye chakula, kwa sasa hana tena hiyo tabia
Kingine alikuwa anasukia nywele za bandia lakini kwa sasa anasukia tu za kwake mwenyewe,
Hizo ni baadhi tu ila kuna ambazo bado napambana kumbadilisha, kama ukimgombeza utaongea mwenyewe mpaka uchoke hakujibu, na akijibu maramoja tu anakaa kimya, mzito kusema nisamehe, hata kama amekosea,
Pambana muwekane sawa mapema mkifikisha miaka kumi mko pamoja na hamjasomana ni heri tu kila mtu atambae.
Ni Mara chache sana hutokea wakakutana au kuoana waliokulia sehemu moja na kujuana,
Mm kuna baadhi ya tabia ambazo nilimkuta nazo mke wangu na nimeweza kumbadilisha,
Mfano:
Alikuwa anapenda kuvaa suruali lakini sasa havai tena baada ya Mimi kumwambia sipendi kumuona amevaa tu suruali pekee kwa sasa havai kabisa,
Pia alikuwa na asili ya uchoyo au ubinafsi hasa kwenye chakula, kwa sasa hana tena hiyo tabia
Kingine alikuwa anasukia nywele za bandia lakini kwa sasa anasukia tu za kwake mwenyewe,
Hizo ni baadhi tu ila kuna ambazo bado napambana kumbadilisha, kama ukimgombeza utaongea mwenyewe mpaka uchoke hakujibu, na akijibu maramoja tu anakaa kimya, mzito kusema nisamehe, hata kama amekosea,
Pambana muwekane sawa mapema mkifikisha miaka kumi mko pamoja na hamjasomana ni heri tu kila mtu atambae.