Kwani alikuwa anatoa hela kutoka kwa mama yake kujenga hyo miradi ?Too early to judge! Miradi aliyokuwa ameanzisha inaweza kukamilika kwa sababu za kisheria, lakini je kutakuwa na miradi mipya ya viwango hivyo tena?
Ni wewe tu mwenye chuki, hata jibu lako hili linaonyesha kujawa na chuki tu. Hakuna aliyesema kuwa Magufuli alitumia hela zake au za mama yake kama kwa lugha yako ya kijinga, lakini alitumia hela za walipa kodi kwenye miradi yenye impact kubwa ya mda mrefu kwa nchi, siyo kutumia hela hizo hovyo hovyo kwa mambo ya muda mfupi tu eti kufurahisha watu kama wewe. Miradi ya bwawa la umeme na SGR itanufaisha vizazi na vizazi vikavyo kwa zaidi ya miaka 100 ijayo. Huduma za afya, mashule na umememe vijijini ni miradi ya kujenga nguvu kazi ya ambayo ni muhimu katika ujenzi wa taifa siku za mbele.Kwani alikuwa anatoa hela kutoka kwa mama yake kujenga hyo miradi ?
Huyo alikuwa rais kituko kuliko wote Tuache Ujinga hizo pesa ni kodi zetu hakuna hta shilingi alitoa mfukoni kwa baba yake. Ameikuta Tanzania ina maendeleo mengi kuliko upuuzi alio wekeza wa Chuki na mauaji.
Tuombe Mungu, unaweza shangaa hii miradi ikikamilika wakajibinafsishia watu kwa kisingizio cha serikali kutofanya biashara. Unakumbuka wahindi walivyopewa shirika letu la reli?!Too early to judge! Miradi aliyokuwa ameanzisha inaweza kukamilika kwa sababu za kisheria, lakini je kutakuwa na miradi mipya ya viwango hivyo tena?
Hivi cocochanel uko wapi?
Kwani Mkuu CCM walikufanya nini kibaya!??
Too early to judge! Miradi aliyokuwa ameanzisha inaweza kukamilika kwa sababu za kisheria, lakini je kutakuwa na miradi mipya ya viwango hivyo tena?
Hayupo tena baada ya kufanya na kuanzisha kile alichoamini na alichotamani kwa nchi yake
John Pombe Joseph Magufuli aliipenda nchi yake
Makao makuu imehamia Dodoma kama ilivyopangwa
Ikulu imejengwa na watanzania
Ndege zimenunuliwa
Reli zimejengwa
Barabara na madaraja vimejengwa
Shule na mahospitali vimejengwa na kuboreshwa
Makanisa na misikiti vimejengwa na kuboreshwa
Ametengeneza viongozi imara na wazalendo
Kawajengea watanzania walio wengi imani kwa serikali yao na upendo kwa nchi yao
Na mengine mengiiiiiii
Tuseme nini kwa Mungu zaidi ya kushukuru kwa zawadi ya uhai wake John Pombe Joseph Magufuli
Rest well our hero
Ni wewe tu usiyejuwa kuwa kuna ndege zinakwenda huko mara mbili kwa wiki. Business class imeshakribia kujaa imabaki seat moja tu. Unasumbuliwa na chuki dhidi ya jina Chato bila kujua kuwa uwanja ule unaitwa Geita Regional Airport.Kuna ndege yoyote iliyotua Chato tangu aondoke?
Wote tutakufa Ila heri katangulia huyu aliyebadilisha nchi kuwa ya kabila moja.Nikiondoka Mimi hizi ndege zitanunuliwa?
Je, nikiondoka Mimi hizi flyover zitajengwa?
Nikiondoka Mimi,hizi barabara zitajengwa?Mbona hapo kabla mambo haya yalikuwa hayafanyiki?
Leo, hayupo Tena lakini mbona Tanzania ipo na itazid kuwepo?
Dunia tunapita, nothing is permanent even the world itself.
Mungu,kaingilia Kati.
Itakuwepo Miradi ambayo itatayalishwa kwa weledi na sio kwa kukurupuka kama alivyofanya JIWE na team yake kununua hayo madège bila kufuata utaalam!!Too early to judge! Miradi aliyokuwa ameanzisha inaweza kukamilika kwa sababu za kisheria, lakini je kutakuwa na miradi mipya ya viwango hivyo tena?
@Jane Lowassa ni Laki Si Pesa
Shughuli za maendeleo ni kwa Watanzania wote, wanyonge wakiwa kati yaoSerrikali kuhaimia Dodoma, kununua ndege kujenga Ikulu na misikiti imemsaidia nini "mnyonge"? Unafahamu kweli anachohitaji mnyonge? Nachelea kusema jiwe alikuwa amezungukwa na watu wenye akili fupi ya aina yako!
Alilizikwa pamoja na mek rih.Hivi cocochanel uko wapi?