Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,997
- 103,382
Udhalimu upi?
Kwasababu kwa akili zako kila alichofanya JPM ni kibaya kaa usubirie hapohapo
Hii ndio CCM chama kubwa haina kufeli
Nasema hivi ule utawala wa kidhalimu. Kama ni miundombinu, hata Kaburu Pieter Botha wa Afrika kusini alifanya. Je alisifiwa kuwa alifanya mambo mazuri? Baki unajibaraguza kwa kuitaja ccm ili kujifariji. Hapa hamna mtu anaisifia ccm wala nini, bali tunafurahia utawala wa dhalimu kufutwa rasmi.