Ni sahihi Rais kuponda vyuo vingine?

Ni sahihi Rais kuponda vyuo vingine?

Mbona hao waliosoma udsm huku makazini wanatupa shida tu kwani wengi wao ni watupu. Hiyo sifa ya udsm haina tofauti na ile kauli ya kuwa uchumi unakua kwa kasi ili hali wananchi twafa kwa njaa
 
Kuna mtu alishinda shindano la great thinkers kwa vyuo vikuu mwaka jana na hakutoka UDSM alitoka Mbeya University of Science and Technology ( MUST ) ingawa alishindana na wanafunzi wa UDSM wengi na wengine kutoka dar. Vipi hapo kuhusu UDSM.
 
Havipondi ila anasema ukweli. Vyuo vingi ni magumashi. Kuna haja gani ya kupeleka wanafunzi wachache chuo cha selikari na wakati bado hakijajaa? Vijae kwanza vya serikali maana hata bei nafuu. Mwaka jana rafiki yangu alipelekwa na TCU Kariuki wakati vyuo vya serikali naamini vipo na mpaka ikapelekea ashindwe kusoma maana ada ni kubwa na hakuwa na uwezo wa kuongezea ile tofauti. Kumbuka mkopo wa bodi hauzidi kiwango cha vyuo vya serikali.
Ufaulu wake mdogo bana hakuna mtu ambae aliapply muhas mwenye ufaulu mkubwa akakosa

Huyo kakosa bugando,kcmc note had I kaoruki ufaulu tu ndo tatizo
 
Je ni vizuri rais baba wa wote kuviponda vyuo vingine ambavyo ni nje ya Dar es salaam, je sisi tuliokuwa na sifa then tukapata nafasi ya kusoma chuo kingine tutajisikiaje, au ndo tujione matabu darasa, kiukweli hakukuwa na haja ya kuongelea vyuo vingine akiwa kama baba watoto wote ni wake anatakiwa atusapoti mi nimejisikia vibaya nimeona kama cheti changu hakina maana kwa sasa kama mkuu wa nchi hakitambui.
Raisi hamnazo tu ndio atafanya hiyo character assasination.
 
Wachangiaji wengi hawakumuelewa Rais yeye Katowa Ushauri kwa TCU kuwapa uhuru Wanafunzi wachague vyuo wanavyotaka sasa tatizo Nini?
TCU ibaki kudahili iboreshwe tu system
Our admission system is the best in Africa I guarantee you that
Wakenya wanafanya case study Tanzania kucopy mfumo wetu wa admission
Also Nigeria wanafanya case study kucopy our admission system

Mkulu kaongea kitu ambacho kinashangaza Leo mi nadhani kama kuna mapungufu ya kiutendaji aganye marekebisho lakini mfumo tulionao
Bila shaka ni one of the best in the world
 
Ili kuweka kumbukumbu vizuri DIT ni Dar es salaam Institute of Techology na hiki chuo kipo chini ya NACTE sio TCU na kinajikita zaidi kwenye Competency Based (CBET) wakati hivi vya TCU vinajikita kwenye Knowledge Based (KBET) nafikiri ndo maana si sawa kukiweka pamoja na UDSM
Are you sure ?

DIT kipo under nacte kwa diploma n below tyu

Lakini kwenye degree, masters n upper ni TCU

Ndomana lazima ukikute kwenye TCU guide book
 
Hueleweki una focus hasa wapi.....
Mara unanisifia, kisha tena unanipondea.

Ushajiuliza kwanini Mh Raisi 98% ya watendaji wake wakuu anawateua kutoka Pool ya Lecturers wa UDSM??

UDSM ni baba la baba lao.
Usikute hata form 4 hujafika wewe
Maana kama umesoma udsm basi unadhalilisha chuo na unastahili kuporwa cheti wewe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ZIFUATAZO NI COURSE ZENYE VILAZA WENGI PALE CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM;
1. Textile engineering.
Hii course ya washona cherehani ina vilaza wa kutosha pia kwa mwaka 2014 mtu mwenye ufaulu mkubwa aliyedahiliwa alikuwa na daraja la pili wengi wao ni daraja la tatu na walifika mpaka daraja la nne duh hawa washona cherehani ni vilaza sana.
2. Socialogy.
Mtu wa art mwenye ndoto ya kusoma chuo kikuu cha taifa yani chuo kikuu cha Dar-es-salaam achague hii course mana ni kama zoa zoa na ina chukua watu wengi hadi vilaza.
3. Mass communication.
Kuna jamaa alichaguliwa hii course ila badae alikimbia mana aliona anapoteza muda na aliingia hapo kwa ufaulu mdogo dah jamaa alikuwa kilaza mzuri tu na akaenda kuungana na wengine.
4. Bed psychology.
Kuna mwalimu wangu alisomaga hii course akanikataza nisiichague kabisa pia kuna binti nilimaliza nae kidato cha sita alipata matokeo mabovu akachaguliwa hii bed kisha akaanza kuandika mtandaoni"nashukuru kuchaguliwa chuo cha taifa poleni mlioenda vyuo vya kata" hana adabu watu walimgaragaza form six anawakejeli dah vilaza wakipata wanashida.
5. BA heritage management.
Kuna jamaa alitemwa na vyuo vingine round ya kwanza kwaiyo ikabidi achaue nafasi zilizobaki kwenye baadhi ya vyuo ikiwemo Dar-es-salaam na akapata hii course na alikuwa na ufaulu mdogo sana mimi namuita kilaza.
NATAKA WAJE KUIJIBU HII THREAD ILI NIENDELEE NA COURSE NYINGINE ZIPO KIBAO KAMA SCHOOL OF JOURNALISM ZIPO COURSE SIJAZITAJA.
HITIMISHO
MTU WA UDSM AMBAYE HASOMI COURSE ZIFUATAZO ASIKUTISHE;
Petroleum,BAED,Bsc Education,Telecommunication,Law,Civil engineering na nyingine ntakuja kuzitaja ila zipo course za VILAZA hapo UDSM.Waswahili husema "Mjumbe hauwawi" pia husema "Arushae jiwe kizani hajui limpatae" pia husema "mwenye kelele hana neon" pia husema "kila zuri na kasoro ye" na Zaidi husema "Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mtu"
Daaah kwel mkuu Kwa hzo course za chini n shda Kwa udsm wanakaza sana
 
No logic,kama hayo madhaifu yapo katika ivyo vyuo na hayafanyiwi au kutafutiwa ufumbuzi...kukaa na kuongea mafumbo bado si sahihi na sio ufumbuzi
 
Je ni vizuri rais baba wa wote kuviponda vyuo vingine ambavyo ni nje ya Dar es salaam, je sisi tuliokuwa na sifa then tukapata nafasi ya kusoma chuo kingine tutajisikiaje, au ndo tujione matabu darasa, kiukweli hakukuwa na haja ya kuongelea vyuo vingine akiwa kama baba watoto wote ni wake anatakiwa atusapoti mi nimejisikia vibaya nimeona kama cheti changu hakina maana kwa sasa kama mkuu wa nchi hakitambui.
1. Hivi humjui baba yako?
2. Hivi ulitegemea nini?
3. Hivi unakaa Tanzania au nie
 
Nadhani huko sahihi kabisa. Kwanza italeta picha nzuri kama rais ataiamini na kuiachia suala hili mamlaka husika (TCU). Na kama kuna jambo ambalo rais hafurahishwi nalo, ni vema akapata/kutoa maelekezo ya moja kwa moja kwa TCU. Kwa hali ilivyo sasa ni kama kutuchanganya tu wananchi!
"huko" ndio nini? Wale wale!
 
Are you sure ?

DIT kipo under nacte kwa diploma n below tyu

Lakini kwenye degree, masters n upper ni TCU

Ndomana lazima ukikute kwenye TCU guide book
Kwani ni nani aliyekwambia kwenye CBET hakuna degree?
FYI
1. NTA Level 4 = Basic Technician Certificate;
2. NTA Level 5&6 = Diploma;
3. NTA Level 7&8 = Bachelor;
4. Masters
5. PhD
Lazima ujue kuwa ni zile tu zenye majina ya University kama UDSM, MU, SUA, SAUTI, nk. ndo zipo TCU nyingine zote kama CBE, DIT, MIST, TIA, etc. zipo NACTE. Na hizi accrediting institutions mbili zinashirikiana zaidi esp kwenye CAS kuliko zingine ( i.e. NECTA & VETA).

Naomba kuwasilisha.
 
Back
Top Bottom