Ni sahihi Rais kuponda vyuo vingine?

Ni sahihi Rais kuponda vyuo vingine?

Mimi naamini katika Juhudi binafsi, chuo ni kituo tu cha kufanyia mitihani.

Na laiti kama mngejua even in that track yu are running of this education system inakuandaa wew kua nani au inakupeleka wapi,,, Yu could go aside and weep..!!!!

But thc z how the world operates,, Only few are destined to know the secrets of thic world and the majority must embrace Ignorance and be reluctant to be lead in light even if one wixhes to, in order to balance the equilibrium...
 
Mbona anazindua Miradi ya waliosoma vyuo vingine pili Kuna watu wako ofisini from udsm ni wa kawaida saana
Kulinganisha UDSM na vyuo vingine hapa Tanzania ni ujinga uliopitiliza na kulinganisha waliosoma UDSM na waliosoma vyuo vingine hapa Tanzania ni Upuuzi wa hali juu.Mlimani ndio chuo bora East and Central Africa huwezi kulinganisha vyuo vya Kayumba.
 
ZIFUATAZO NI COURSE ZENYE VILAZA WENGI PALE CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM;
1. Textile engineering.
Hii course ya washona cherehani ina vilaza wa kutosha pia kwa mwaka 2014 mtu mwenye ufaulu mkubwa aliyedahiliwa alikuwa na daraja la pili wengi wao ni daraja la tatu na walifika mpaka daraja la nne duh hawa washona cherehani ni vilaza sana.
2. Socialogy.
Mtu wa art mwenye ndoto ya kusoma chuo kikuu cha taifa yani chuo kikuu cha Dar-es-salaam achague hii course mana ni kama zoa zoa na ina chukua watu wengi hadi vilaza.
3. Mass communication.
Kuna jamaa alichaguliwa hii course ila badae alikimbia mana aliona anapoteza muda na aliingia hapo kwa ufaulu mdogo dah jamaa alikuwa kilaza mzuri tu na akaenda kuungana na wengine.
4. Bed psychology.
Kuna mwalimu wangu alisomaga hii course akanikataza nisiichague kabisa pia kuna binti nilimaliza nae kidato cha sita alipata matokeo mabovu akachaguliwa hii bed kisha akaanza kuandika mtandaoni"nashukuru kuchaguliwa chuo cha taifa poleni mlioenda vyuo vya kata" hana adabu watu walimgaragaza form six anawakejeli dah vilaza wakipata wanashida.
5. BA heritage management.
Kuna jamaa alitemwa na vyuo vingine round ya kwanza kwaiyo ikabidi achaue nafasi zilizobaki kwenye baadhi ya vyuo ikiwemo Dar-es-salaam na akapata hii course na alikuwa na ufaulu mdogo sana mimi namuita kilaza.
NATAKA WAJE KUIJIBU HII THREAD ILI NIENDELEE NA COURSE NYINGINE ZIPO KIBAO KAMA SCHOOL OF JOURNALISM ZIPO COURSE SIJAZITAJA.
HITIMISHO
MTU WA UDSM AMBAYE HASOMI COURSE ZIFUATAZO ASIKUTISHE;
Petroleum,BAED,Bsc Education,Telecommunication,Law,Civil engineering na nyingine ntakuja kuzitaja ila zipo course za VILAZA hapo UDSM.Waswahili husema "Mjumbe hauwawi" pia husema "Arushae jiwe kizani hajui limpatae" pia husema "mwenye kelele hana neon" pia husema "kila zuri na kasoro ye" na Zaidi husema "Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mtu"
 
Kulinganisha UDSM na vyuo vingine hapa Tanzania ni ujinga uliopitiliza na kulinganisha waliosoma UDSM na waliosoma vyuo vingine hapa Tanzania ni Upuuzi wa hali juu.Mlimani ndio chuo bora East and Central Africa huwezi kulinganisha vyuo vya Kayumba.
Aiseeh! [emoji87] [emoji87]
 
ZIFUATAZO NI COURSE ZENYE VILAZA WENGI PALE CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM;
1. Textile engineering.
Hii course ya washona cherehani ina vilaza wa kutosha pia kwa mwaka 2014 mtu mwenye ufaulu mkubwa aliyedahiliwa alikuwa na daraja la pili wengi wao ni daraja la tatu na walifika mpaka daraja la nne duh hawa washona cherehani ni vilaza sana.
2. Socialogy.
Mtu wa art mwenye ndoto ya kusoma chuo kikuu cha taifa yani chuo kikuu cha Dar-es-salaam achague hii course mana ni kama zoa zoa na ina chukua watu wengi hadi vilaza.
3. Mass communication.
Kuna jamaa alichaguliwa hii course ila badae alikimbia mana aliona anapoteza muda na aliingia hapo kwa ufaulu mdogo dah jamaa alikuwa kilaza mzuri tu na akaenda kuungana na wengine.
4. Bed psychology.
Kuna mwalimu wangu alisomaga hii course akanikataza nisiichague kabisa pia kuna binti nilimaliza nae kidato cha sita alipata matokeo mabovu akachaguliwa hii bed kisha akaanza kuandika mtandaoni"nashukuru kuchaguliwa chuo cha taifa poleni mlioenda vyuo vya kata" hana adabu watu walimgaragaza form six anawakejeli dah vilaza wakipata wanashida.
5. BA heritage management.
Kuna jamaa alitemwa na vyuo vingine round ya kwanza kwaiyo ikabidi achaue nafasi zilizobaki kwenye baadhi ya vyuo ikiwemo Dar-es-salaam na akapata hii course na alikuwa na ufaulu mdogo sana mimi namuita kilaza.
NATAKA WAJE KUIJIBU HII THREAD ILI NIENDELEE NA COURSE NYINGINE ZIPO KIBAO KAMA SCHOOL OF JOURNALISM ZIPO COURSE SIJAZITAJA.
HITIMISHO
MTU WA UDSM AMBAYE HASOMI COURSE ZIFUATAZO ASIKUTISHE;
Petroleum,BAED,Bsc Education,Telecommunication,Law,Civil engineering na nyingine ntakuja kuzitaja ila zipo course za VILAZA hapo UDSM.Waswahili husema "Mjumbe hauwawi" pia husema "Arushae jiwe kizani hajui limpatae" pia husema "mwenye kelele hana neon" pia husema "kila zuri na kasoro ye" na Zaidi husema "Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mtu"
nilikuwa nakodoa macho nione BAed iko upande gani

but kwanini hizo kozi nyingine umesema ni vilaza sana?
 
Je ni vizuri rais baba wa wote kuviponda vyuo vingine ambavyo ni nje ya Dar es salaam, je sisi tuliokuwa na sifa then tukapata nafasi ya kusoma chuo kingine tutajisikiaje, au ndo tujione matabu darasa, kiukweli hakukuwa na haja ya kuongelea vyuo vingine akiwa kama baba watoto wote ni wake anatakiwa atusapoti mi nimejisikia vibaya nimeona kama cheti changu hakina maana kwa sasa kama mkuu wa nchi hakitambui.

Sasa TCU inavitambuaje kama havina sifa?
 
Hivi vyuo vikuu vinatakiwa vifanyiwe uhakiki vile ambavyo havikidhi viwango vifutwe kuliko Rais kuishia kuvisema tuu mama professor Ndalichako najua umetake note
Mi mpaka mwaka jana chuo kikuu..nilijuaga ni UDSM tu...vingine sivitambui
 
Amepondaje..!?? Naombeni Quatations wakuu ili nisije kumjudge tofauti..
 
nilikuwa nakodoa macho nione BAed iko upande gani

but kwanini hizo kozi nyingine umesema ni vilaza sana?
Nimesema hizo nyingine ni vilaza mana UDSM wanawaita wanafunzi wa vyuo vingine vilaza bila kujua kuwa kuna baadhi ya watu kwenye baadhi ya course hapo UDSM walipitwa kwa ufaulu wa form six na baadhi ya watu kutoka baadhi ya vyuo wanavyoita vya vilaza, hivyo basi kama vyuo vingine ni vilaza basi hawa waliopo hapa UDSM ambao wamepitwa na hao watu tunaowaita vilaza watakuwa ni vilaza mara mbili.
 
Hizo ndo kauli zake mtukufu rais, kaumbwa ivo na hawezi kubadilika,he can't make a good father
 
Nimesema hizo nyingine ni vilaza mana UDSM wanawaita wanafunzi wa vyuo vingine vilaza bila kujua kuwa kuna baadhi ya watu kwenye baadhi ya course hapo UDSM walipitwa kwa ufaulu wa form six na baadhi ya watu kutoka baadhi ya vyuo wanavyoita vya vilaza, hivyo basi kama vyuo vingine ni vilaza basi hawa waliopo hapa UDSM ambao wamepitwa na hao watu tunaowaita vilaza watakuwa ni vilaza mara mbili.
Haya sawa mkuu
 
Mimsamehe tu yule baba..maana mnaujua udhaifu wake....na anaendelea kurusha mawe gizan mpaka kufikia 2020 kila mmoja litakua limempata
 
Mimi nilitoka hapo ila aibu inakuja pale tunapoona kuna PhD ilianzia hapo lakini lugha ya English ni mgogoro
Mkuu suala la lugha ni tata sana si rahisi kama unavyosema rejea acquisition of second language utagundua mengi. Sisi wengi kingerza ni lugha yetu ya tatu au yanne naunakutana nayo ktk formal setting huwezi ku master. Kuna mufano michache sana duniani ya walioweza ku master lugha ya kigeni ktk umri mkubwa yaani from 14 yrs and above
 
KUSIMAMA MBELE ZA WATU UKAZUNGUMZA jambo LA MAANA NIKAZI KWELI
 
Je ni vizuri rais baba wa wote kuviponda vyuo vingine ambavyo ni nje ya Dar es salaam, je sisi tuliokuwa na sifa then tukapata nafasi ya kusoma chuo kingine tutajisikiaje, au ndo tujione matabu darasa, kiukweli hakukuwa na haja ya kuongelea vyuo vingine akiwa kama baba watoto wote ni wake anatakiwa atusapoti mi nimejisikia vibaya nimeona kama cheti changu hakina maana kwa sasa kama mkuu wa nchi hakitambui.
Tz kuna vyuo 2 tu: UDSM and Other Universities!
 
Back
Top Bottom