yusuphfrancis
JF-Expert Member
- Oct 26, 2016
- 433
- 361
Eti CCNP Engineer, au umegushi cheti cha Ud , watu wa Ud hatuko hivyo! Acha kutuzalilisha Nina mashaka na cheti chako mkuuUDSM ndio baba la baba lao.
MUHAS ni mtoto wa UDSM.
ARU ni mtoto wa UDSM.
DUCE ni tako la UDSM.
MUCE ni bega la UDSM.
Tanganyika Law School ni zao la UDSM.
Maraisi wote wa TZ ni UDSM Alumni.
Achana na Yoweri Kaguta Museveni.
Achana na Paul Kagame.
Achana na Mpambanaji Samora Machel.
Kassim Majaliwa UDSM.
Edward Lowassa (Mabadilikooo) UDSM.
Mizengo Peter Pinda (Mtoto wa Mkulima) UDSM.
Samwel Sitta (RIP- DARUSO President) mpaka akachapwa viboko na JK hadharani UDSM.
Twende:
Zitto Zuberi Kabwe (DARUSO President) UDSM.
Edo Kumwembe UDSM.
K Bazil UDSM.
Jokate Mwigelo UDSM.
Jeshi la Anga (Airforce Command) linapohitaji graduates miaka yote huwa wanakuja COET kurecruit Engineers.
Hivi vyuo vingine ni kama Takataka tuu.
Havina legacy yoyote.
Vipo tu kwa sababu UDSM haina capacity ya ku admit wanafunzi wote TZ na East Africa.