Ili kuweka kumbukumbu vizuri DIT ni Dar es salaam Institute of Techology na hiki chuo kipo chini ya NACTE sio TCU na kinajikita zaidi kwenye Competency Based (CBET) wakati hivi vya TCU vinajikita kwenye Knowledge Based (KBET) nafikiri ndo maana si sawa kukiweka pamoja na UDSMUDSM huwa mnaponda kote ila sijawahi kusikia mnagusa DIT mnawaogopa au,naskia wale jamaa sio wa mchezo mchezo.wanawatoa kamasi balaa.