Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,693
- 160,447
Kwamba? πNingeshangaa anakuwezaje labda
Kwamba? πNingeshangaa anakuwezaje labda
ππππππEndeleeni kua serious maisha ni haya haya
nani ajichanganye kwenye huo ukorofi wakoKwamba? π
Yani nifanye hayo yote ili nisile kitumbua cha ex? Haiwezekani kama bado mzuri na hatukuachana vibaya lazima nimuombe kidogoUnapofanya tendo la ndoa na Mtu yeyote, unajenga muunganiko wa kiroho na kimihemko, na huyo mtu.
Ni jambo gumu sana kumsahau mtu ambaye mlikuwa na uhusiano wa namna hiyo, hamjaachana Kwa vita au uhasama mkubwa. Kila mkionana miili yenu na roho zenu zitashabihiana.
Haijalishi miaka mingapi imepita, Fanya YAFUATAYO Ili uwe Salama
1) kuwa mtu wa ibada
2) Epuka ukaribu wa kubakia watu wawili tu katika Mazingira ambayo watu hawapo.
3.) Nafsi yako ijaze na neno la Mungu badala ya hao viumbe
4) Futa namba za simu/ mawasiliano mengine,meseji Moja unaweza kukutoa relini
5) Usipende kufuatilia ishu zake,Kwa rafiki zake,mtandaoni etc mind your own business
6)Kuwa kwenye campany ya mtu mwingine ikibidi kuonana naye .
7) Weka sura ya kazi mkionana naye Kwa bahati mbaya.usicheke na kima.
Be blessed, mmoja anaweza vuka hapo.
Kuna Wakati hutapenda kuchanganya madesa,mother house akigundua ni ShidaYani nifanye hayo yote ili nisile kitumbua cha ex? Haiwezekani kama bado mzuri na hatukuachana vibaya lazima nimuombe kidogo
Afterall tulishaunganika kiroho kama ulivyosema
πππ Pole kwake... Atakuwa amejifunzaπππ ERoni alijichanganya yakamshinda.
sawa mkuuUnapofanya tendo la ndoa na Mtu yeyote, unajenga muunganiko wa kiroho na kimihemko, na huyo mtu.
Ni jambo gumu sana kumsahau mtu ambaye mlikuwa na uhusiano wa namna hiyo, hamjaachana Kwa vita au uhasama mkubwa. Kila mkionana miili yenu na roho zenu zitashabihiana.
Haijalishi miaka mingapi imepita, Fanya YAFUATAYO Ili uwe Salama
1) kuwa mtu wa ibada
2) Epuka ukaribu wa kubakia watu wawili tu katika Mazingira ambayo watu hawapo.
3.) Nafsi yako ijaze na neno la Mungu badala ya hao viumbe
4) Futa namba za simu/ mawasiliano mengine,meseji Moja unaweza kukutoa relini
5) Usipende kufuatilia ishu zake,Kwa rafiki zake,mtandaoni etc mind your own business
6)Kuwa kwenye campany ya mtu mwingine ikibidi kuonana naye .
7) Weka sura ya kazi mkionana naye Kwa bahati mbaya.usicheke na kima.
Be blessed, mmoja anaweza vuka hapo.