Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,196
- 11,628
- Thread starter
- #81
ndio maana nilisema una kitu 🐒Nimeokoka bana
Nina siri naye Yesu
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Kwa amani) Kwa amani nayo dhiki
(Yanifanya) Yanifanya niwe jasiri
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
(Hosana) Hosana, Amen
(Yaniburudisha) Yaniburudisha, (nikiruka) nikirukaruka
Nikiimba Hosana, Amen
umuhimu wa nguo za ndani ni pamoja na:-
1. kujisitiri huko chini dhidi ya takataka, wadudu, vumbi n.k
2. inakufanya uwe jasiri na mwenye kujiamini....
3. ni ulinzi muhimu sana wa hiyo mali apo kati dhidi ya dharura mbalimbali. Ni kama nyumba nzuri ilowekwa fensi au safe ya kutunzia fedha, au kifuniko cha asali 🐒
4. ni kifuko cha kudhibiti vibration au mitikisiko inayoweza kuzuia uhuru mathalani ktka kutembea, kukimbia, kucheza n.k coz kuna ke wako wamejaaliwa sana. Lakini ata me waliojaaliwa isivyo kawaida, nguo ya ndani husaidia kudhibiti na kutatiza mlingoti endapo network itashika vizur mahala au ktk mazingira pasipostahili 🐒
huonangi kule uswahilini wanaoenda kuchamba wenzao hujipanga na kujiandaa kwa kujisitiri vizuiri huko chini na nguo za ndani, ila kua jasiri za