Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 16,991
- 11,301
Nashukuruuu Sanaaaa kwa kuliona hilo ambalo wengine tulishaliona tangia muda mrefu sana na kuandika sana humu jukwaani kwa kurudia rudia sana ,katika kueleza uwezo mkubwa wa kiakili na kiuongozi alio nao Mheshimiwa Dkt Tulia Acksoni Mwansasu Dada wa Taifa na Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini.
Bora wewe umejisemea ukweli maana mimi nikiandika naambiwa kuwa namtetea na kumpamba sana. Ok ngoja nisiandike sana leo.
Bora wewe umejisemea ukweli maana mimi nikiandika naambiwa kuwa namtetea na kumpamba sana. Ok ngoja nisiandike sana leo.