Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 6,418
- 13,498
Wewe umezaliwa 2009 unataka kumuelewa msanii ambaye alikuwa anatumbuiza enzi baba yako na mama yako wako vidudu. Huna adabu kabisa wewe mtoto. Tena ukome kama ulivyokoma ziwa la mama yako.
Mwaka 1988 pale Drive in ( kwasasa ni ubalozi wa Marekani) kulikuwa na bonge la screen. Nyimbo ya Michael Jackson, Thriller ilikuwa ndio inawekwa mida ya saa sita usiku. Aiseeee acha wewe mbwa. Yaani sikulala nyumbani siku hiyo nilikojoa kupitia dirishani aisee acha kabisa.
Wewe dogo naomba kwanza ukatubu hii dhambi umetutukania historia yetu kwamba msanii ambaye alikuwa anatusisimua na kututoa machozi leo hii unasema hakuna alilofanya. Wewe mtoto shika adabu yako aiseeee.
Mwaka 1988 pale Drive in ( kwasasa ni ubalozi wa Marekani) kulikuwa na bonge la screen. Nyimbo ya Michael Jackson, Thriller ilikuwa ndio inawekwa mida ya saa sita usiku. Aiseeee acha wewe mbwa. Yaani sikulala nyumbani siku hiyo nilikojoa kupitia dirishani aisee acha kabisa.
Wewe dogo naomba kwanza ukatubu hii dhambi umetutukania historia yetu kwamba msanii ambaye alikuwa anatusisimua na kututoa machozi leo hii unasema hakuna alilofanya. Wewe mtoto shika adabu yako aiseeee.