Ni nani aliyewahi kuuelewa mziki wa Michael Jackson?

Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

MJ anatajwa kama Vocalist bora kupata Kutokea, uwezo wake sio tu Kucheza bali kuimba pia.

Pia hao uliowataja wengi waimba nyimbo Za mapenzi labda kwako kuimba ni nyimbo za mapenzi tu.

Sikiliza acapella ya Earth hapo hakuna miziki, hakuna kinanda hakuna Auto tune ni kipaji tu

View: https://m.youtube.com/watch?v=nr4qP2WjyCc&pp=ygUaTWljaGFlIGphY2tzb24gRWFydGggdm9jYWw%3D
 
Nakupenda Pia..., Nakutaka Pia Mpenzi We.........

Kuna wakati unaweza kuongelea Fani fulani ukajionesha ni vipi hujui hio Fani..., let alone mapenzi ya Kitu ila ulichosema hapo kinaonyesha ni vipi sio mfuatiliaji.....

Unaongelea mtu mwenye vibao zaidi ya 100; career ya tangia ana miaka 5 kwamba haeleweki?!!! Labda wewe ndio huelewi muziki....

American singer and songwriter Michael Jackson recorded songs for ten studio albums, two posthumous studio albums, seventy two compilation albums, three soundtrack albums, one live album and seven remix albums. He has provided background vocals for songs recorded by other artists, as well as featured on duets.

Jackson debuted on the professional music scene at age five as a member of The Jackson 5. The group set a chart record when its first four singles—
Umemjibu vyema kabisa, huenda yeye ndiyo asiyeelewa mziki tatizo hasikilizi😂

Ivi anaijua Liberian girl huyu, anaijua thriller, anajua belie Jean?

Michael Jackson alikuwa msanii haswa creativity yake ni kubwa hata huyo diamond wa leo unayemuona asilimia 80 ni Michael, Chris brown, usher Rymond, neyo, Jason derulo, P square wote hao ni Michael Jackson’s products.

Michael is the king of entertainment and pop.
Ukipenda burudani Michael ndy burudani yenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: K11
1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.

2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamiliki jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.

3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.

Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumikia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.

Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.

Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.
Lazma mumuite mason sababu alikuwa ni extraordinary, super creative kwenye music wake, ila practice make perfect, he was started to join in the music at age five, maisha yake yote alikuwa ni music, so he was a master of music, dancing, and video production.

Tusiamini sana kwenye satanic ways.
He was a master kama alivyokuweko pelé kwenye soka.
Hakuna uchawi ni uwezo na talent tu.
 
Ukitaka kujuwa Michael Jackson alikuwa anaimba nini,,

Tafuta wimbo uliopigwa na world music all stars,,

We are the world

*Sauti tamu kuliko zote utakayoisikia *,,

That will be Michael Jackson

The wacko Jacko


Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Tukiwa form 1, tulikuwa ngo tunauimba huo wimbo kwenye madarasa ya muziki
 
Unajua nini wewe dogo.embu uliza kama kuna album imewahi kuipita kimauzo album ya thriller toka kuwekwa kwa misingi ya dunia.Halafu hujui hata Michael alikuwa anaimba genre ipi ya mziki.Michael alikuwa anaimba pop ndio maan walimuita mfalme wa pop kama ilivyokuwa Tupac na Big walivyokuwa waqdhaniwa mmoja wao ni mfame wa hip hop
 
Dangerous
Thriller
Who is it
Strange in Moscow
Liberia girl(nakutaka pia nakupenda pia mpenzi wee)
The man in the mirror
Bill Jean
Who is watching me
Beat it
Black or white
 
Back
Top Bottom