MJ anatajwa kama Vocalist bora kupata Kutokea, uwezo wake sio tu Kucheza bali kuimba pia.Za jioni ndugu zangu, kwema?
Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.
Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.
Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.
Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.
Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.
Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.
Umemjibu vyema kabisa, huenda yeye ndiyo asiyeelewa mziki tatizo hasikilizi😂Nakupenda Pia..., Nakutaka Pia Mpenzi We.........
Kuna wakati unaweza kuongelea Fani fulani ukajionesha ni vipi hujui hio Fani..., let alone mapenzi ya Kitu ila ulichosema hapo kinaonyesha ni vipi sio mfuatiliaji.....
Unaongelea mtu mwenye vibao zaidi ya 100; career ya tangia ana miaka 5 kwamba haeleweki?!!! Labda wewe ndio huelewi muziki....
American singer and songwriter Michael Jackson recorded songs for ten studio albums, two posthumous studio albums, seventy two compilation albums, three soundtrack albums, one live album and seven remix albums. He has provided background vocals for songs recorded by other artists, as well as featured on duets.
Jackson debuted on the professional music scene at age five as a member of The Jackson 5. The group set a chart record when its first four singles—
Hakupenda kuitwa wacko jacco.Duuuuu aiseeeeee!!!!!?
The walco jacco.
Lazma mumuite mason sababu alikuwa ni extraordinary, super creative kwenye music wake, ila practice make perfect, he was started to join in the music at age five, maisha yake yote alikuwa ni music, so he was a master of music, dancing, and video production.1. Jamaa ana sauti ambayo kwa kizazi cha sasa ni ngumu kuipata.
2. Anamiliki jukwaa hasa, kama kuna mtu umewahi kumuona anamiliki jukwaa vizuri ktk show, basi elewa hajafika nusu ya michael jackson.
3. Alianza kutoa video dongo zenye kuvutia toka miaka 80 na 90 na mwanzoni mwa 2000. Katafute video zake uone.
Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumikia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.
Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.
Apumzike huko anakostahili kupumzishwa.
Niliposoma huu uzi kwa mara ya kwanza nilikwenda kufunga siku 40 kumuombea akili zake zirudi sawa. Maana ni mtu aliyerukwa akili tu ndie anaweza kuja na uzi wa kitakataka namna hii.Huyu Fala aliyeleta hii thread bado ana exist?bichwa maji?
🤣🤣🤣Umezaliwa 2004 unataka kumuelewa michael jackson na muziki wake.
Tukiwa form 1, tulikuwa ngo tunauimba huo wimbo kwenye madarasa ya muzikiUkitaka kujuwa Michael Jackson alikuwa anaimba nini,,
Tafuta wimbo uliopigwa na world music all stars,,
We are the world
*Sauti tamu kuliko zote utakayoisikia *,,
That will be Michael Jackson
The wacko Jacko
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app