Hivi Michael Jackson alikuja Tanzania na kugoma kushuka uwanja wa ndege na kusalimiana na Mzee Mwinyi kisa Tanzania hewa yake ni chafu?

Mfalme_wa_Nyika

JF-Expert Member
May 24, 2023
391
859
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....😂😂

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya😂😂 kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee Ruksa
20240302_070710.jpg
 
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee RuksaView attachment 2921940
mdogo wangu hata mimi hiyo story nikiisikia ila hakugoma kushuka inasemekana siku anatimba MJ kuna sehemu ya jiji walikuwa wamechoma taka sasa ule moshi ukawa unaelekea maeneo ya airport ukichanganya na ule moshi wa pale feri wa kukaanga samaki ikawa hewa mchanganyiko kama anajua zaidi aongezee nyama
 
mdogo wangu hata mimi hiyo story nikiisikia ila hakugoma kushuka inasemekana siku anatimba MJ kuna sehemu ya jiji walikuwa wamechoma taka sasa ule moshi ukawa unaelekea maeneo ya airport ukichanganya na ule moshi wa pale feri wa kukaanga samaki ikawa hewa mchanganyiko kama anajua zaidi aongezee nyama
Pale Ferry mpaka sasa ukifika harufu ni mbaya sana
 
mdogo wangu hata mimi hiyo story nikiisikia ila hakugoma kushuka inasemekana siku anatimba MJ kuna sehemu ya jiji walikuwa wamechoma taka sasa ule moshi ukawa unaelekea maeneo ya airport ukichanganya na ule moshi wa pale feri wa kukaanga samaki ikawa hewa mchanganyiko kama anajua zaidi aongezee nyama
😂😂 basi hii stori ilikua inaongezwa chumvi nakupunguzwa chumvi kulingana na sehemu, mimi niko Arusha huku tulikua tumeisikia hivyo kitaa
 
mdogo wangu hata mimi hiyo story nikiisikia ila hakugoma kushuka inasemekana siku anatimba MJ kuna sehemu ya jiji walikuwa wamechoma taka sasa ule moshi ukawa unaelekea maeneo ya airport ukichanganya na ule moshi wa pale feri wa kukaanga samaki ikawa hewa mchanganyiko kama anajua zaidi aongezee nyama
Yaani moshi utoke Tegeta uje uchanganyike na wa Ferry upige mbizi mpaka airport??
 
Nawaambia kila siku ukishamuogopa Mungu, teknolojia ongezea na mbongo/mtz ni wa kukaa nae mbali sanaaa, sisi watanzania ni waongo waongo sanaa, ujanja ujanja usio na msingi, hio ipo kwenye DNA kabisa, kuanzia watawala mpaka raia wake, watoto kwa watu wazima.
 
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....😂😂

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya😂😂 kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee RuksaView attachment 2921940
Hebu hapo pa Mwinyi tumuweke Jiwe kisha waanze kutema mayai, angalizo: ni marufuku wasikilizaji kucheka kama lile koti.
 
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....😂😂

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya😂😂 kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee RuksaView attachment 2921940
Mbona alipelekwa Mwenge.
 
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....😂😂

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya😂😂 kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee RuksaView attachment 2921940
Ukweli ni kuwa yule kijana alikuwa ametafuta ugonjwa wa makusudi alipobadilisha umbile la pua yake iwe kama ya wazungu.
Pua baadae ikawa haifanyi kazi vizuri kupitisha hewa na ikawa ni mateso makubwa pamoja na pesa nyingi alizokuwa nazo.
Kila mara na kila anapokaa alikuwa hajihisi vizuri alikuwa alijishika shika pua yake kama kuipa nguvu apumue vizuri.
Ndio tatizo alilikuja nalo Tanzania.Watu wakaona kama anaoa kinyaa kwa kutua Tanzania.
 
Wazee leo imebidi niulize,
Maana naona watoto wa miaka ya 90 kama tulikua tunapigwa fiksi mno na wazazi au wakubwa wetu....

Nimekua miaka ya 2000 na hivi nikiamini stori niliyoikuta kuwa mwanzoni mwa miaka ya 1990 sijui 1992 alikujaga bana Wako Jack (MJ) Gwiji Michael Jackson hapa Ti-ziii

Eti nasikia mwamba alifungua mlango wa ndege pale airport kabla hajashuka chini alipokuwa akisubiriwa na umati ikiwapo Rais Mwinyi enzi hizo, eti MJ akabinya pua yake kama mtu alonakinyaa akasema Tanzania inanuka haina hewa safi ya yeye kuvuta ...

Eti mwamba MJ akamwambia rubani wa ndege wang'oe...yaani hakushuka ndege likageuza hilo marekani....😂😂

Sasa wadau nimeuliza hivi maana leo nimekuta hiyo picha hapo nimeambatanisha na post ya MJ akiwa nyumbani kwa Mwinyi enzi hizo. yaani wamerelax wanakula stori....

Imebidi niulize hawa wazazi au watu wa zamani walikua wanatuchukuliaje watoto aisee!? kwa fiksi walizokuwa wanatupa!?

Yaani mimi mpaka leo na utu uzima wangu nilikua naamini kuwa MJ sio mwana kabisa kwa kitendo alichokifanya😂😂 kumbe nililishwa maneno mbofumbofu na story za kitaa enzi hizo hakuna vyanzo vya habari hata kuhakiki ukweli wa story...

Tuachage kulisha matango pori watoto sio vizuri jamani.....

Rest in peace MJ na Mzee RuksaView attachment 2921940
Hivi alikuja kwa shuguli gani? Ona alivokaa pesabwana kitu kingine
 
Back
Top Bottom