Tafuta makala mbalimbali kumhusu ndo utagundua hakuwa binadamu wa kawaida.Za jioni ndugu zangu, kwema?
Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.
Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.
Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.
Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.
Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.
Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.
Heal the WorldLakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu
Stori za vijiweni.akaja ishu ya kubadili jinsia.
Sijui kwanini unamtajataja Diamond katika uzi wa MJ. Mbona ni mbingu na ardhi.Kweli kabisa. Jamaa kama Diamond anazuga na vimaneno vyake viwili vitatu anateleza kwa sana.
Tayari anaiteka dunia na kumtajirisha bila jasho.
Kama unamuelewa MJ you shouldn't call him The Wacko Jacko. Hilo ni jina la kumdhalilisha.Human nature
They don't care about us
The Wacko Jacko.
Hii imemaliza kila kituMwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.
Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.
Kuna ile show yake ya smooth criminal. Yule jamaa alikuwa hatari. Laiti dunia ingeamka ktk mziki kipindi kile kama kizazi hiki hakika yule jamaa angekuwa tajiri wa mziki kuwahi kutokea.Hii imemaliza kila kitu
Anayebisha autazame mwisho wa MJ ulivuokuwa, label kubwa zote zilimkataa akasaidiwa na AKON pale Convikt, track aliyotoa ile Hold my Hand aliimna kwa sauti tamu ileile lakini mapokezi yakawa sio makubwa...
Mwisho ndio tunaambiwa dokta akamuovadozi
Yaan ni vile tu niliacha kusikiliza muziki. Ila huu ni moja kati ya nyimbo zake kali sana ambazo nilikuwa sizichoki.Billie Jean is not my lover
She's just a girls who claims that I'm the one
But the kid is not my son
She says I'm the one but the kid is not my son
Katika nyimbo hata nipoteze/badili simu lazima niu download huu ndo wa 1
Halafu unasema Maiko ni wa mchongo
Bob Marley na Dube kweli?Aisee ulikuwa unawaza kama mimi. Sijawahi kuona uzuri wa nyimbo asilimia kubwa za MJ. Mwingine ni bob marley huwa naona kama luckydube aliapaswa kuxhukua tittle ya BM
Nilivoona hio tu nikajua wewe mtoto wa juzi.
Yaan unamuita Celine 'demu' hadi Shania Twain unamuita 'demu'. Aisee katubu hio dhambi chief. Umetokosea sana washabiki wa aina hio ya miziki
Mkuu tuwekee hiyo you are not alone
Ila kuna watu mna majibu jamani mie hoiUmezaliwa 2004 unataka kumuelewa michael jackson na muziki wake.
Tena Atuombe radhi kwa niaba ya MJUmemkosea sana MJ mkuu.
Za jioni ndugu zangu, kwema?
Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.
Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.
Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.
Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.
Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.
Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.
Dah unanikumbusha mbali mkuuKasikilize heal the world halafu urudi hapa
Ha ha ha ha ha haAleyn comment yako naifanyia lamination.