Ni nani aliyewahi kuuelewa mziki wa Michael Jackson?

Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

Tafuta makala mbalimbali kumhusu ndo utagundua hakuwa binadamu wa kawaida.

He was talented and The King of Pop Music
 
Mwisho kabisa, alikuwa na spiritual power nyuma yake, alitengenezwa kuzimuni awe vile alivyokuwa, so sio rahisi mtu kushindana nae. Alianza kutumia masonic toka akiwa kijana mdogo, alisambaza ishu za kubadili rangi ulimwengu mzima, akaja watoto wa kupandikiza, akaja ishu ya kubadili jinsia.

Mambo yote mazito ya kipepo walianza kumtumia yeye kuwa kama mjumbe wake. Achana na zile ngonjera sijui alibadili dini, zote zile bado alikuwa ktk mission ya masonic.
Hii imemaliza kila kitu

Anayebisha autazame mwisho wa MJ ulivuokuwa, label kubwa zote zilimkataa akasaidiwa na AKON pale Convikt, track aliyotoa ile Hold my Hand aliimna kwa sauti tamu ileile lakini mapokezi yakawa sio makubwa...

Mwisho ndio tunaambiwa dokta akamuovadozi
 
Hii imemaliza kila kitu

Anayebisha autazame mwisho wa MJ ulivuokuwa, label kubwa zote zilimkataa akasaidiwa na AKON pale Convikt, track aliyotoa ile Hold my Hand aliimna kwa sauti tamu ileile lakini mapokezi yakawa sio makubwa...

Mwisho ndio tunaambiwa dokta akamuovadozi
Kuna ile show yake ya smooth criminal. Yule jamaa alikuwa hatari. Laiti dunia ingeamka ktk mziki kipindi kile kama kizazi hiki hakika yule jamaa angekuwa tajiri wa mziki kuwahi kutokea.
 
Billie Jean is not my lover
She's just a girls who claims that I'm the one
But the kid is not my son
She says I'm the one but the kid is not my son


Katika nyimbo hata nipoteze/badili simu lazima niu download huu ndo wa 1


Halafu unasema Maiko ni wa mchongo
Yaan ni vile tu niliacha kusikiliza muziki. Ila huu ni moja kati ya nyimbo zake kali sana ambazo nilikuwa sizichoki.

Halafu kuna HUMAN NATURE pia, na hapa unakutana na producer wangu bora wa muda wote QUINCY JONES.
 
Za jioni ndugu zangu, kwema?

Michael Jackson enzi za uhai wake alikuwa msanii maarufu na tajiri kuliko msanii yeyote hapa duniani.

Lakini pamoja na hizo sifa mbili kubwa nilizozitaja, kwangu mimi naona kuwa jamaa alibebwa na nyota tu kama ilivyo kwa Diamond, ila kiuimbaji au utungaji jamaa hakuwa anatunga au kuimba nyimbo zozote za maana.

Em fikiria Michael Jackson alikuwa na uwezo gani wa kutunga nyimbo nzuri na za maana kushinda wasanii kama Lionel Richie, Steven Wonder, Phil Collins, au mademu kama vile Whitney Houston, Celine Dion, Shania Twain nk.

Labda aliwashinda kwenye kucheza kama vile kusimamia kucha, kuteleza sakafuni, mabreka nk. Lakini kwenye tungo iwe za mapenzi, kijamii nk Michael alikuwa mweupe tu kama ilivyo kwa Diamond kuonekana anajua na kupata umaarufu wa ndani na nje zaidi ya wakongwe wa mziki kama vile kina Nature, Afande Sele, Kiba, Barnaba na wakongwe wengine mbali mbali.

Sijajua hili linatokana na nyota kweli au kuna namna tu media zinaamua kukubeba kwa lengo fulani.

Kwa kweli mpaka sasa sijauelewa mziki au wimbo uliomfanya Michael Jackson apendwe na kuitwa mfalme. Mwenye uelewa zaidi wa nyimbo zake aje atuambie.

 
Acha kusikiliza singeli, ukiacha rudi tena kasikilize wimbo wowote wa hayati Michael Jackson, baadhi ya nyimbo hizo ni Human Nature, Liberian Girl, Slave To Rythm, Black or White, Bad, Stranger in Moscow, Billie Jean, Don't stop till you get enough, thriller, You are not alone, Will you be there e.t.c

Jitahidi unavyoanzisha thread hata kama haulipii utumie akili kuwasilisha unachotaka na sio kuja bila mpangilio. Yangu ni hayo
 
Back
Top Bottom