witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Tehe teh teh...utakuwa team vimbaumbauTatizo mmezoea chura zimejaa mavi

Tehe teh teh...utakuwa team vimbaumbauTatizo mmezoea chura zimejaa mavi

Daaah....kuumbe
Yupo sawa.Anacompare MTU akijua siriMkuu mbona unachanga sukari na chumvi?
Hakuna kitu kama hicho.Ila kwa Beyonce naamini asee..she sold her soul to them!
Sio kwa kupapatikiwa huku na walimwengu!....hata mi kajamba nani nampenda!
Huyo kanogesha story tuu hajui chochote mkuu.umeongea cha maana mkuu, maana kuna mmoja hapo juu ametuambia eti kampuni ya Cocacola ilimuua Marylin halafu hata ufafanuzi kidogo hajatoa
Deborah sio ?kuna movie moja inaitwa Bansheee, kuna mdada kafanana nae sana
hamna haja ya kuogopa dunia my dear,dunia sio mbaya watu ndio wabaya,muhimu ni kujua ukweli na uhalisia wa mambo/watu na kuwa makini na everything that surrounds you.Daaah....kuumbe
Hii dunia naiogopa sasa
huyo ni papa wa vatican,kwa kifupi vatican inamilikiwa na illuminati popes wote wapo kwa ajili ya illuminati na wanatekeleza orders from them kupitia 'the black pope'.
Huyo hajielewi ..Ngoja nimsome kwa jicho la 3D...maana sometimes maneno ya Lowasa Elim Elimu Elimu yalikuwa yana maana sanaMm sikubishii ila nataka Otorong'ong'o aone ulicho andika..
Mkuu una akili timamu kweli wewe....yani namaanisha ulishawai ugua kichaa labdaView attachment 594607View attachment 594608
inaitwa 'mano cornuto' au horned hand,sasa ona watu wenyewe wanaotumia hizo satanic signatures unaweza kudhani ni 'swag' tu ila uhalisia wake hatari sana.
Sure sure mkuu ...umakini muhimu sanahamna haja ya kuogopa dunia my dear,dunia sio mbaya watu ndio wabaya,muhimu ni kujua ukweli na uhalisia wa mambo/watu na kuwa makini na everything that surrounds you.
Sijui mtaacha lini uongo.absolutely!
~ lengo lao kuu ni kutawala dunia na kila kilichomo through 'new world order' na moja kati ya 'tools' za ku-propagate hiyo NWO ni culture that's why wasanii influential celebrities wanatumika sana.
~wakishaona unawafaa wanaku-approach ukikubali wanakupa fame,money na mambo kama hayo ili wakutumie,ukikataa wanakukill epecially kama wanaona we ni threat katika mission zao eg. bob marley ila kama sio threat kivile wanaku frustrate tu kimaisha na kukufilisi eg mike tyson,dmx
siri! ukiwa member ni lazima utunze siri zao at any cost ukishindwa hilo au ukiwa expose 'death penalty' inakuhusu eg. michael jackson,2pac shakur,kanumba.
wanauana freshi tu katika stage ya 'initiation' sema tu wanafanya siri sana na wanatengeneza mazingira vifo vionekane natural deaths,ila ukiwa na ma degree mengi ya ushetani sio lazima uue blood.
Hakuna kitu kama hicho. Miscarriage ni kawaida tu .Inategemeana.Asingezaa mngesemaa aisee BadunguuuMi nahisi itakuwa ni zile story za uzae mtoto ukiwa na miaka Fulani, kula na aina ya mavazi...hawa celebs huwaga wanapenda story za miscarriage ukute wanatoaga kafara sana
Beyonce kapata 5 miscarriage kiutani utani! Hivi hospital za Us zilivyo makini unapoteza mtoto kizembe kweli?
Haya huyu nae Janet sharti kuu aliambiwa azae akifika 50 net!
Michael hakuna kuishi na mwanamke!
P.Didy hakuna kuoa kamwe!
Itakuwa wana mavitu mengi tu ya siri tena ukute mabaya zaidi ya tunayojua..
pole sana.Sijui mtaacha lini uongo.
Mfano Michael J ni maskin cancer.Kanumba alitelezaa......acheni hizo mambo
your mom,your wife,your sisters know me better.Mkuu una akili timamu kweli wewe....yani namaanisha ulishawai ugua kichaa labda
Huyo naepole sana.
Hata yeyey kwa mtililiko wa mahusiano yake, it means alikuwa Jasusi piaLabda kwa kukusaidia kidogo ni kwamba Marilyn manroe alikuwa anatoka na jf kennedy raisi wa marekani, na piaonroe alifanya makoaa makubwa ya kiufundi kama walivyosema majasusi wa CIA, baada ya kutembea na fidel castro wakati huo uhusiano was marekani na Cuba ulikuwa mbaya sana kiasi kwamba nusu vizuke vita vya tatu vya dunia kwani urusi walipeleka makombora ya nyuklia ambayo yalikuwa yana uwezo wa kuibafuta Florida na Miami take katika uso wa dunia, ukiondoa hapo cia walishamuonya monroe kwa kuwa na uhusiano na watu matajiri na maarufu wa wakati huo ikashindikana, kwani kiusalama isingekuwa jambo bora kwa raisi wa marekani ku share mapenzi na watu tofauti tofauti wengi wao walikuwa wanajua fika uhusiano was Monroe na jf Kennedy, hivyo majasusi wa CIA walimuua kwa kumwekea sumu. Hivyo alikutwa amekufa, na haya mambo wenyewe cia wali release kwenye intelligence revew report am bazo wanazitoaga kila baada ya muda Fulani na Hugo jasusi aliwahi kikili adharani kama yeye kwa mkono wake alihusika na wakati anakili habari hizi alikuwa keshakuwa mzee was miaka 80 na sina uhakika kama bado yuko hai ni kama miaka mitatu iliyopita.
ni kweli hizi dini zina mafundisho mazuri tu ambayo yana make sense kwa mtu mwenye sound mind,Aisee...nilishasikia hii kitu
Lakini bora church tunafundishwa Upendo na kumcha Mungu!...especially Catholic ni Kanisa lisilokuwa na complications kabisa!
muda aliopost ni saa tisa usiku,hii ni dalili ya depression ( msongo wa mawazo).Huyo nae