mkulungu mkuyengo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2015
- 786
- 566
Hapana mkuu...
Ile nyingine dizain kama vidole viwili vya kati kavikunja, gumba, kinachofuata na cha mwisho kaviachia!
Niliona kwenye tuzo za AMMA akifanya hivyo...duuh nilichoka!
inaitwa 'mano cornuto' au horned hand,sasa ona watu wenyewe wanaotumia hizo satanic signatures unaweza kudhani ni 'swag' tu ila uhalisia wake hatari sana.