Ni nani alimuua Marilyn Monroe?

Ni nani alimuua Marilyn Monroe?

Mi nahisi itakuwa ni zile story za uzae mtoto ukiwa na miaka Fulani, kula na aina ya mavazi...hawa celebs huwaga wanapenda story za miscarriage ukute wanatoaga kafara sana

Beyonce kapata 5 miscarriage kiutani utani! Hivi hospital za Us zilivyo makini unapoteza mtoto kizembe kweli?

Haya huyu nae Janet sharti kuu aliambiwa azae akifika 50 net!

Michael hakuna kuishi na mwanamke!

P.Didy hakuna kuoa kamwe!

Itakuwa wana mavitu mengi tu ya siri tena ukute mabaya zaidi ya tunayojua..
R.kelly??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom