Ni nani alimuua Marilyn Monroe?

Ni nani alimuua Marilyn Monroe?

Marilyn Monroe, aliuliwa na Illuminati. Vifo vinavyotokana na illuminati, huwa ni vya kujinyonga, au drugs overdose. Lakini hasa huwa suicide. Marilyn, alikuwa na wapenzi wengi sana, tena wenyewe majini makubwa. Watu kama Jf Kennedy, Frank Sinatra, maofisa wakubwa katika vyomba vya upelelezi vya Marekani. Vile vile, Marilyn alikuwa ni member wa kundi la Illuminati. Siku tatu kabla ya kukutwa amejiuwa kwa kuchanganya drugs na pombe, alitembelewa na kasisi nyumbani kwake, akitahadharishwa kuhusu maisha yake jinsi yasivyompa utukufu Mungu, na kuambiwa ampokee Yesu maishani mwake. Lakini yeye alimjibu kuwa " potelea mbali wewe na huyo Yesu wako sina haja nae." Baada ya Siku saba, alikutwa ameoza kitandani kwa vile alikuwa akiishi peke yake.
 
Ila kwa Beyonce naamini asee..she sold her soul to them!

Sio kwa kupapatikiwa huku na walimwengu!....hata mi kajamba nani nampenda!
illuminatti wana recruit watu wenye mvuto kwa public kupitia kazi/talents/ujuzi/akili zao,bey na jigga ni watu wataoendelea ku trend ktk kazi zao hadi wafe.
 
Sehemu kubwa ya wanamziki wa ulaya na America huwa ni member wa iluminati kwa ajili ya kupata umaarufu. Illuminati, na Freemasons huwa niwamoja kama vile, kivuli na Giza. Michael Jackson, John Lennon, Robin Williams, Elvis Presley na wengine wengi ni miongoni mwa wahanga wa Illuminati.
 
illuminatti wana recruit watu wenye mvuto kwa public kupitia kazi/talents/ujuzi/akili zao,bey na jigga ni watu wataoendelea ku trend ktk kazi zao hadi wafe.
Ila wakikiuka masharti si inakula kwao?

Hivi huwaga wanapewa masharti gani kwa mfano?

Maana huku Africa mpaka uue damu yako but kule mi naona wanadunda tu fresh!
 
Ila wakikiuka masharti si inakula kwao?

Hivi huwaga wanapewa masharti gani kwa mfano?

Maana huku Africa mpaka uue damu yako but kule mi naona wanadunda tu fresh!
tafuta documentary za eminem na mkataba wake wa illuminant, utamuonea huruma yule jamaa....

aliingia kichwa kichwa sasa hivi anajuta, hata kwenye mistari ya nyimbo zake amekuwa analalamika sana.
 
tafuta documentary za eminem na mkataba wake wa illuminant, utamuonea huruma yule jamaa....

aliingia kichwa kichwa sasa hivi anajuta, hata kwenye mistari ya nyimbo zake amekuwa analalamika sana.
Please mkuu nihighlight kidogo niko tough sana ntatafuta hiyo doc nikitulia!

Only napenda kujuaga maagano/mikataba yao!

Eminem aliambiwaje?
 
Nadhani una jibu lako tayari. Wanadamu tuna asili ya ubishi, ujuaji, uchizi na fitna. Kuhusu kifo chake inategemea ni upande gani unakuvutia au umekuvutia katika kusoma na kusikia kutoka vyanzo mbalimbali.
Drug overdose ndo ripoti ilivyosema ila kama nilivyokwishasema hapo juu kuhusu ujuaji na ubishi, baadhi ya watu wanaamini kaka mtu na mdogo mtu walihusika kufanya/kuratibu mauaji yake.
Mkuu uko sahihi! Ni drug overdose ! Nahisi alidhani siku moja angeweza kuchukua nafasi ya Jackie, lakini haikuwa hivyo. Ile siku alipomwimbia Rais Kennedy "Happy birthday, Mr. President" alionyesha fika hisia alizokuwa nazo. Ni mawazo yangu tu.
 
Back
Top Bottom