Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,714
- 45,103
Kitengo
Bila kalio kubwa,kibongo bongo urembo haujatimia!
😢 😢ni kweli...watu walewale
Atakuwa aliuawa na watu wasiojulikana, ndugu moja na hawa waliotaka kumuua mwana mwema wetu Lissu!
ChaiFreemason na kampuni ya coca cola.
Ni wapi waliwahi kuthibitisha kuwa James Files alimuua JFK naomba linkYafuatayo ni mahojiano kati ya Jimmy Marrs na James Files - muuaji wa JF Kennedy.. swali (Q) ameuliza Jimmy na Jibu (A) ametoa James Files
Q- Just to interject, , was it the Kennedy’s or the mob that hit Marilyn?
A- The mob hit her, but they had done, they did it on the request of the Kennedys
Ni wapi waliwahi kuthibitisha kuwa James Files alimuua JFK naomba link
🚮🚮🚮'Waliwahi' - kina nani hao unaowaulizia?
1. Vyombo vya habari?
2. Vyombo vya usalama?
3. Mafia?
4. James Files mwenyewe?
5. Mashuhuda waliokuwa Delay Plaza?
E.c.t
Mtaje unayemtaka na nitakwambia msimamo wake ni upi!
Nimekuuliza hivyo kwasababu kuna interested parties nyingi na kila moja ina maelezo yake kwa interest zake..
Nyota tuniliwahi kusikia anaitwa mrembo kweli kweli huyu Dada sasa ninapoiona hii picha nashindwa kuelewa vigezo gani vilitumika,kwa jinsi anavyoonekana vikalio kama dereva wa magari ya mwendokasi aaaaah!! Kila mtu na macho yake.
Nini unachokijua?Chadema anzishen basi Group letu muwe mnaongea ujinga wenu huko,hapa tunajifunza tusjiyoyajua nyie mnaleta ujinga wenu!
Hilo la kutembelewa na Kasisi na kukutwa kaoza ni uongo mtupu. Acha kutudanganya.Marilyn Monroe, aliuliwa na Illuminati. Vifo vinavyotokana na illuminati, huwa ni vya kujinyonga, au drugs overdose. Lakini hasa huwa suicide. Marilyn, alikuwa na wapenzi wengi sana, tena wenyewe majini makubwa. Watu kama Jf Kennedy, Frank Sinatra, maofisa wakubwa katika vyomba vya upelelezi vya Marekani. Vile vile, Marilyn alikuwa ni member wa kundi la Illuminati. Siku tatu kabla ya kukutwa amejiuwa kwa kuchanganya drugs na pombe, alitembelewa na kasisi nyumbani kwake, akitahadharishwa kuhusu maisha yake jinsi yasivyompa utukufu Mungu, na kuambiwa ampokee Yesu maishani mwake. Lakini yeye alimjibu kuwa " potelea mbali wewe na huyo Yesu wako sina haja nae." Baada ya Siku saba, alikutwa ameoza kitandani kwa vile alikuwa akiishi peke yake.