Hebu wanaomshughulikia Mh. Mbowe kwa kumsababishia awe na hali ngumu ya kisiasa na kiuchumi waniambie ni Mzee gani alimpa mzee Nyerere makochi ya kukalia katika nyumba yake aliyopewa iliyopo magomeni wakati wa kudai uhuru?
Nyumba hiyo ipo magomeni imekuwa kama nyumba ya mkumbusho ukienda hayo makochi utayakuta. Hawo wanaompa hali ngumu Mh Mbowe kisa tu ni mpinzani Mzee Nyerere walimpa wao makochi?
Au wazazi wao ndo walimpa Nyerere hivyo viti? Au walitaka Mzee Nyerere akae chini?
Kosa la Mbowe ni nini, kuwa mpinzani?
Nyumba hiyo ipo magomeni imekuwa kama nyumba ya mkumbusho ukienda hayo makochi utayakuta. Hawo wanaompa hali ngumu Mh Mbowe kisa tu ni mpinzani Mzee Nyerere walimpa wao makochi?
Au wazazi wao ndo walimpa Nyerere hivyo viti? Au walitaka Mzee Nyerere akae chini?
Kosa la Mbowe ni nini, kuwa mpinzani?