Ni mbinu ya kuweka namna ya kutoruhusu upotevu wa Kodi katika masoko makubwa Dar es salaam hii itambatana na kuwajenga majengo makubwa yenye frame Kwa ajili ya biashara! Wamachinga wawe sehemu ya kusaidia Kodi pia..
Kuwafukuza Ingechukua muda mrefu sana.. hii itakuwa interval ya miezi 6 miaka miwili kabla ya uchaguzi watu watakuwa wamesahau!
Nadhani.
Kuwafukuza Ingechukua muda mrefu sana.. hii itakuwa interval ya miezi 6 miaka miwili kabla ya uchaguzi watu watakuwa wamesahau!
Nadhani.