MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,617
- 41,680
Siku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.
SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?
Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.
HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.
MCHUNGUZI HURU
naomba niongezee nyama kwa kuwa thamani yao ipo chini huwa wanafanya mambo ya ajabu
kujichubua
kutembea uchi
kuroga
kulia lia wanachezewa
wengi wao ni wategemezi
sasa kwa nini tuwabembeleze ?