Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,635
Kumekucha best
Mweleze aelewe asipoelewa kazi ipo
Ameelewa sema anajitoa ufahamu
Kumekucha best
Mweleze aelewe asipoelewa kazi ipo
anawakomoa eeh?!!!:..teh teh teh teh
anzeni kumbeleza atabadirisha msimamo
Kwasababu?
Kwasababu hauna sifa za kuimbiwa
Kwasababu hauna sifa za kuimbiwa
Miaka 30 mbali sana. Akishazidi 25 hajampata wa kumshikilia mkono-baaasi!
Ananza kuchoka akili na mwili. You are real true.
Wenye sifa unawajua kwa maandishi et?
Siku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.
SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?
Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.
HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.
MCHUNGUZI HURU
Unajua thamani ni kitu gani ndugu?
Unapombembeleza thamani yako inaisha vipi?
Unahusishaje thamani ya mtu na kubembeleza?
Weeee sema tu kwa maandishi lakini moyoni wabembeleza kinyama teh teh teh!!
N:B Ukitaka jua mbio za kinyonga washa moto
Sijaolewa mie bado nasaka...
Naanzaje anzaje kumbembeleza mwanamke kwa mfano?
Haya maswali hata KUKU wangu angekuwa anauwezo wa kuongea angekujibu.
Shangaa na wewe....raha ya mapenzi kubembelezana bhana khaaa
maneno ya mkosaji buuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
pole kwa kuvurugwa!mtabembeleza sana tu hata mkibaki wawili duniani khaaaaa!
Shangaa na wewe....raha ya mapenzi kubembelezana bhana khaaa
Ebana hizo dharau yani siye thamani yetu ipo chini ????? Tuombe radhi bana Kama uwezi kutubembeleza yupo mwenzio anaweza vizuri tu Mkuu
hahahahhh...usitufanyie hivyo kaka..uwezi jua labda kupitia wewe watapatikana mapacha wa kiume kama 4 hivi huoni utasaidia kupunguza tatizo.hebu amua basi.
mmesoma signature ya MCHUNGUZI HURU??...Hebu waache kubembeleza tuone,,, wanawake wanaojitambua ni wachache na vichaa ni wengi.