Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

kwi.kwi.kwi...kijana hajui raha kutongoza. we ngoja kama watu JF hawataanza kumbembeleza yeye...kuna magereti sinkas huku....sasa leo wapi beibe..nikuletee lunch jamani.Pls

njoo hapa break point ya makumbusho nipate na bia kabisa
 
naamini ndoa si lazima katika maisha ya binadamu ..... sex unaweza pata kirahisi sana ... kupenda ni kazi ngumu sana.... naamini katika kupendwa na mtu yeyote na siwezi lazimisha ndoa eti kisa nina miaka arubaini no no no no never in ma life ....

mkuu alafu kila mwanamke an priority zake mwingine ndoa... mwingine kama mimi watoto na pesa hapa mtoto naweza pata mda wowote nikitaka na mtu yeyote naye mtaka no matter if he will take care of ma kids its his decision na siwezi mlazimisha kutunza damu yangu... kama anaona kuna umuhimu wa kutunza damu yake afanye kama amuna hell is a better place for him...

uko radical sana kwenye issue ya mapenzi, badilisha mtazamo you deserve better, si kitu kizuri sana hapa duniani watoto kukosa mapenzi ya baba na mama.

mambo ya single parents yatokee tu kama ajari lakini kama hujafikia status hiyo unao muda wa kusahihisha mtazamo, mtoto/watoto wako ukifa ghafla bila kuwa na familia imara utamwachia dunia chungu.

nimeliona hili kwa wanawake wengi ambao wamezaa bila kuoana hujipofusha kwamba mtoto ni wake ukipenda kumsuport its okey if hauko interested its okey, haya ni makosa makubwa sana wanayafanya watu bila kujitambuwa.
 
uko radical sana kwenye issue ya mapenzi, badilisha mtazamo you deserve better, si kitu kizuri sana hapa duniani watoto kukosa mapenzi ya baba na mama.

mambo ya single parents yatokee tu kama ajari lakini kama hujafikia status hiyo unao muda wa kusahihisha mtazamo, mtoto/watoto wako ukifa ghafla bila kuwa na familia imara utamwachia dunia chungu.

nimeliona hili kwa wanawake wengi ambao wamezaa bila kuoana hujipofusha kwamba mtoto ni wake ukipenda kumsuport its okey if hauko interested its okey, haya ni makosa makubwa sana wanayafanya watu bila kujitambuwa.
ni sawa mkuu siwezi jitesa kujilazimishia mwanume eti kisa ni lazima niishi nae au watoto wapate mapenzi ya baba wakati baba lenyewe ni taira siwezi kwa kweli miss chagga mie ma baby they deserve batter na siyo shida ambayo ataleta mwananume ndani
 
Mimi huwa siwabembelezi nawasifia tu jinsi walivyojilemba siku hiyo kama ninamta
ka namwambia tukaviunganishe viungo akijifanya kutojua namwambia hii inataka hiyo
 
Waaaapiiii Snura,

Jamani nimevurugwa, mwenzenu nimevurugwa,
 
uko radical sana kwenye issue ya mapenzi, badilisha mtazamo you deserve better, si kitu kizuri sana hapa duniani watoto kukosa mapenzi ya baba na mama.

mambo ya single parents yatokee tu kama ajari lakini kama hujafikia status hiyo unao muda wa kusahihisha mtazamo, mtoto/watoto wako ukifa ghafla bila kuwa na familia imara utamwachia dunia chungu.

nimeliona hili kwa wanawake wengi ambao wamezaa bila kuoana hujipofusha kwamba mtoto ni wake ukipenda kumsuport its okey if hauko interested its okey, haya ni makosa makubwa sana wanayafanya watu bila kujitambuwa.

Mkuu ushakutana na janaume kama hili halijielewei, unamwambia damu yake anataka umbembeleze amuhudumie, to hell , heri ubaki single mama, maana atatesa mtoto tu kisaikolojia tu, baba ajitambue, sio mvaa suruali tu
 
ni sawa mkuu siwezi jitesa kujilazimishia mwanume eti kisa ni lazima niishi nae au watoto wapate mapenzi ya baba wakati baba lenyewe ni taira siwezi kwa kweli miss chagga mie ma baby they deserve batter na siyo shida ambayo ataleta mwananume ndani

labda hujanielewa na bado unarudia yaleyale, ukiwa umezaa na taahira basi ni matahira wawili walikutana with same vision and ideas mpaka mkafikia kuzaa, don't be a selfish to call them my baby inapendeza ukisema our baby, hakuna mzazi aliye bora kuliko mwenzake.

hii mambo ya independent woman inasambaratisha familia nyingi kwa viburi vya kipato cha mdada, sisemi watu walazimishwe kuwa pamoja lakini kama mama unalo jukumu la kuhakikisha beef zenu watoto hawageuki kuwa victim.

hii ndio maana mtoto anapewa surname ya baba yake na kabila automatically anakuwa kabila la baba yake, huu ndio ukweli either you take it or you leave it.
 
Mkuu ushakutana na janaume kama hili halijielewei, unamwambia damu yake anataka umbembeleze amuhudumie, to hell , heri ubaki single mama, maana atatesa mtoto tu kisaikolojia tu, baba ajitambue, sio mvaa suruali tu

bado naamini hali huwa haifiki hapo from no where, hata mbuyu ulianza kama mchicha, hapa mimi sipo kuwatetea wanaume wapuuzi wasiokuwa committed ila natoa uzoefu wangu wa maisha kwa yale ninayoyaona kwenye jamii.
 
Mwanaume uwe na misimamo yako tu na mipango yako ya maendeleo. Hawa wanawake ukiwapa kipaumbele sana utachanganyikiwa manake dira yao imewekwa sumaku, haieleweki. Hata ufanye nini, akiamua kugongwa atagongwa tu bila hata sababu ya kueleweka. All these women around, yet you waste your time with one trifling hoodrat? no freaking way!
 
labda hujanielewa na bado unarudia yaleyale, ukiwa umezaa na taahira basi ni matahira wawili walikutana with same vision and ideas mpaka mkafikia kuzaa, don't be a selfish to call them my baby inapendeza ukisema our baby, hakuna mzazi aliye bora kuliko mwenzake.

hii mambo ya independent woman inasambaratisha familia nyingi kwa viburi vya kipato cha mdada, sisemi watu walazimishwe kuwa pamoja lakini kama mama unalo jukumu la kuhakikisha beef zenu watoto hawageuki kuwa victim.

hii ndio maana mtoto anapewa surname ya baba yake na kabila automatically anakuwa kabila la baba yake, huu ndio ukweli either you take it or you leave it.

sawa mkuu nimekuelewa nitajitahid badilisha mtazamo wangu
 
bado naamini hali huwa haifiki hapo from no where, hata mbuyu ulianza kama mchicha, hapa mimi sipo kuwatetea wanaume wapuuzi wasiokuwa committed ila natoa uzoefu wangu wa maisha kwa yale ninayoyaona kwenye jamii.

U r right to think soo,

But most of tyme mahusiano mkaka ndio anayaanza bt tek it from me, mdada ndo hua mstari wa mbele kuhakikisha hayavunjiki, unles iwe mimba ya one night stand hapo pia mdada atajaribu kuomba ndoa, lengo kuu watoto wasihangaike kwa kukosa mapenzi ya baba,

Interesting part is that nowadays men tek us for granted na akishaona unajilazimisha mapenzi yaendelee atakufanya chochote inafikia point of no return dada anasema (Basii Nendaaaa nibaki na wanangu maana akingangana hata watoto wataharibikiwa so inabidi mdada aplay part yake na ya baba mambo yaende.

Hivyo ndo nnavyomaanisha, namimi ni muumini wa kua na watoto hata kumi wa baba mmoja bt if n only if mazingira yanaruhusu
 
Back
Top Bottom