Wee leta hapa....wee eka hapo/pale!Inaelekea washa kuvuruga tayari pole sana itabid tuwapeleke kijesh yan ile we kuja hapa.
Wacha umbeya....mi naongea na mwekundu hapa
Siku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.
SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?
Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.
HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.
MCHUNGUZI HURU
Ili uchunguzi ukamilike umbea lazima uwepo ndo maana Mchambuzi huru mmbea.
thamani yako ndo ipo shini btn ukikua utaachanimekosa nini mkuu, wanawake ni wengi san huwezi kaa unabembeleza mtu ambaye thamani yake ipo chini
na kweli utakuta yeye ndo mbembelezaji mkubwaSiku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.
SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?
Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.
HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.
MCHUNGUZI HURU
mmesoma signature ya MCHUNGUZI HURU??...
Same applied to wanaume, wanaume ni wachache lakini wanaojitambua ni wachache.saaaana na ndicho kinaongeza thamani ya wanaume tuliopo.
Maneno haya utuambie sisi mabibi wa above 60 yrs maana huku wanaume ni wachache sana wengi wa wanaume wanakufa mapema so idadi ya wanawake inaonekana ni kubwa kumbe hili kundi la 60 yrs and above ndio linaloongeza idadi hiyo. So kwa wasichana msiogope wanaume wapo wengi sana hakuna haja ya mtu kukutisha
Pole kaka unafikiri,kila mwanamke anafikiria kuolewa, au anaona kuolewa ni kitu cha maana sana, zaidi ya kujiongezea majukumu yasiyokuwa na shukrani na stress tu.sio kila mdada ambaye umri umekwenda amekosa mme wa kumuoa wengine wameamua kuwa single, na hawana shida ya kujibembeleza kwa wanaume, ukiona mwanamke anajibembeleza au kujikomba kwa mwanaume ujue hajitambui.