Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

nimekosa nini mkuu, wanawake ni wengi san huwezi kaa unabembeleza mtu ambaye thamani yake ipo chini

Ebana hizo dharau yani siye thamani yetu ipo chini ????? Tuombe radhi bana Kama uwezi kutubembeleza yupo mwenzio anaweza vizuri tu Mkuu
 
hivi kumbe bado kuna midume bado inalialia zama hizi??

wakati wanawake wapo kibaooo.akikuzingua usibishane nae au kugombana nae ww piga kimya uone.
akijifanya mjuaji mpige cha mbavu.

wanaume wa ivo wapo mkuu
 
Sawa usibembeleze lkini na wewe kubali kila dem utakaye guSa utatombewa tu mana mwanamke gani anataka ucuba kwenye mahusiano hao wakurya wenyewe wanabembeleza huyo mahita uliyekuwa unamjua ukimkuta ktk anga zake na ubandidu wote ule anabembwleza sembuse wewe bro. Mi nakubali unaweza fanya ivyo ila niwajuavyo wasichana kila demu wako utakayekuwa nae utachapiwa tu na wenzako. Kama hubembelez hata uyo ulienae unachapiwa vile vile swallow or throgh uwiiiiiiiiiiiuuuuu im out

mwanamke? hata ubembeleze vipi, ikiwezekana uwe unamuimbia kabla ya kulala lakini utasikia unagongewa na wauza chips.
 
Ebana hizo dharau yani siye thamani yetu ipo chini ????? Tuombe radhi bana Kama uwezi kutubembeleza yupo mwenzio anaweza vizuri tu Mkuu

labda kilwa mkuu ndio utabembelezwa, neno thamani lisitumike kama tusi maana yangu kubwa ni kwamba wanaume wanahitajika zaidi kuliko wanawake
 
Siku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.

SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?

Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.

HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.

MCHUNGUZI HURU

Ndio maana nimeamua kuishi bila mke ili kuwakomoa.
 
kuna mijitu inajifanya inakaza hapa ..haina lolote kwa madem zao ,inanywea kama abiria hasiye na nauli ndani ya daladala

Ha ha ha.... yaani umefika sokoni umekuta wauza nyanya weeengi halafu muuzaji mmoja anakuzingua then unambembeleza, kweli?
 
mwanamke abembelezwe kwa lipi? mbunye? kama mbunye mbona hata mbuzi anayo.

tengua kauli kaka..thamani ya mwanamke ni kubwa kuliko mnyama (mbuzi).hata kama utabaki peke yako duniani.mwanamke ni mwanamke tu..hauwezi kujilinganisha na mwanamke atasiku moja..
 
Ndio maana nimeamua kuishi bila mke ili kuwakomoa.

hahahahhh...usitufanyie hivyo kaka..uwezi jua labda kupitia wewe watapatikana mapacha wa kiume kama 4 hivi huoni utasaidia kupunguza tatizo.hebu amua basi.
 
labda kilwa mkuu ndio utabembelezwa, neno thamani lisitumike kama tusi maana yangu kubwa ni kwamba wanaume wanahitajika zaidi kuliko wanawake

Ww unabembeleza kwa demu wako mpka unalia Nani asiyejua ???? Mtatubembeleza sana na kutunyenyekea ndio imeshakuwa tena ivyo wacha nimuamshe mwenzio aanze kunibembeleza
 
nimekosa nini mkuu, wanawake ni wengi san huwezi kaa unabembeleza mtu ambaye thamani yake ipo chini

hivi ushawai kukaa chini na kufikiri tatizo lipo kwanani.au unaaza tu kulaumu wanawake wengi kuliko wanaume.kwa taarifa yako wanaume ndo chanzo kikubwa cha madiliko hayo...badiliken nyinyi ili muongezekeee
 
Back
Top Bottom