Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

hatutaki kuongezeka ili thamani yetu izidi kuwa juu zaidi

Mtasubiri sana, tizama karibu nyimbo zote zinazoimbwa wanaume ndo wanawalilia wanawake.Eg kama ningeweza kuzitudisha siku nyuma ataagoti ningepiga .......( sikumbuki mkaka gani aliimba) na nyingine nyiiiiingi za type iyo.
 
wanawake ktk 70th & 80th kupata mababie ilikuwa ni tabu sana ilikuwa mpk uwe na ndg ulaya wa kukushushia raba mtoni na jansi tena LEE au wezi wa doy akuibie ununue kweli ili kuwa ni shida
 
Siku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.

SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?

Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.

HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.

MCHUNGUZI HURU

Kwani mpaka leo unabembeleza mkuu?????
Ebu kuwa specific bhana.
Unabembeleza kupewa papuchi,tigo,ndoa au nini;Tuambie mkuu.
Cku hizi unabembeleza ili upunguziwe bei maana wanawake wengi wamehamishia ujasiliamali kwenye miili yao.
 
loooh kama mpo wengi mbona mkimwagwa mnalia? mapenz s rahis hivyo unavyofikiria ww.. kama umeumizwa pole na hayo ndo maisha ya mpito tu. ingekuwa hivyo unavyofikiria ww mbona raha sana.. kumbuka na si kila mwanamke unayemwona ukajua anakufaa.. angalia kijana utaruka mkojo waenda kukanyaga mavi... akili kum-kichwa.

hapa nilipo nipo kwenye mkojo so siwezi kuuruka ili nikufate wewe mavi
 
kuna mijitu humu Duniani imeumbwa KUBANJUA WAKE ZA WATU TU
ww acha kumbembeleza uone Houseboy anavyomkunja chumamboga bandani humo
au mleta Mada hujaoa????

we kweli ukwaju, sasa ukimbembeleza ndio house boy hata mkunja? kiazi wewe
 
Miaka 30 mbali sana. Akishazidi 25 hajampata wa kumshikilia mkono-baaasi!
Ananza kuchoka akili na mwili. You are real true.
 
Mtasubiri sana, tizama karibu nyimbo zote zinazoimbwa wanaume ndo wanawalilia wanawake.Eg kama ningeweza kuzitudisha siku nyuma ataagoti ningepiga .......( sikumbuki mkaka gani aliimba) na nyingine nyiiiiingi za type iyo.

ni kweli wanaimbiwa wanawake lakini wewe haupo kwenye hilo kundi la wanawake wanaoimbiwa

MCHUNGUZI HURU
 
Mnunuaji ndio anajua nyanya nzuri na mbaya ubaya ni kujihisi una nyanya nzuri kuliko wauzaji wengine kumbe katika uhalisia ni kuwa una nyanya mbaya kupita maelezo

Ndo maana lazima kubembelezana kwa sababu kuna wabaya na wazuri( wa tabia).Wote tungefanana labda kubembelezana kusingekuwepo.
 
Back
Top Bottom