Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Siku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.

SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?

Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.

HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.

MCHUNGUZI HURU
 
Mtoa mada umepewa cha mbavu nini hahahah....pole weee....we naki navmawazo yako mgando huku wanaume wa kweli wanaopoa vifaa vya haja.....utaishia kuopoa migubegube iliyoshindikana mjini maana wale huhitaji hata kutongoza....
 
Mtoa mada umepewa cha mbavu nini hahahah....pole weee....we naki navmawazo yako mgando huku wanaume wa kweli wanaopoa vifaa vya haja.....utaishia kuopoa migubegube iliyoshindikana mjini maana wale huhitaji hata kutongoza....

ni kweli wanaume wa kweli wanaopoa vifaa vya haja lakini kwa bahati mbaya wewe haupo katika vifaa. Na haufanani hata na visigino vya demu wangu
 
ni kweli wanaume wa kweli wanaopoa vifaa vya haja lakini kwa bahati mbaya wewe haupo katika vifaa. Na haufanani hata na visigino vya demu wangu

Hahahah kwa hyo demu wako ndo ideal type ya warembo?
 
hivi kumbe bado kuna midume bado inalialia zama hizi??

wakati wanawake wapo kibaooo.akikuzingua usibishane nae au kugombana nae ww piga kimya uone.
akijifanya mjuaji mpige cha mbavu.
 
Sawa usibembeleze lkini na wewe kubali kila dem utakaye guSa utatombewa tu mana mwanamke gani anataka ucuba kwenye mahusiano hao wakurya wenyewe wanabembeleza huyo mahita uliyekuwa unamjua ukimkuta ktk anga zake na ubandidu wote ule anabembwleza sembuse wewe bro. Mi nakubali unaweza fanya ivyo ila niwajuavyo wasichana kila demu wako utakayekuwa nae utachapiwa tu na wenzako. Kama hubembelez hata uyo ulienae unachapiwa vile vile swallow or throgh uwiiiiiiiiiiiuuuuu im out
 
Back
Top Bottom