Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

Tunabembelezwa had magoti tunapigiwa
Pole kwa kuvurugwa na magubegube
 
Hahahahah....mbavu zangu mie na kweli umetukomoa maana wote tulikuwa tunategemea kuolewa na wewe

anawakomoa eeh?!!!:..teh teh teh teh
anzeni kumbeleza atabadirisha msimamo
 
Siku zote kitu chochote kikiadimika lazima thamani yake ipande, hii ni principle dunia nzima.

SASA, namba ya wanaume ni ndogo sana huku wanawake wakizidi kuongezeka kwa kasi kubwa kwa mantiki wanaume wanahitajika sana kuliko wanawake hivyo ni lazima thamani ya mwanaume iongezeke na thamani ya mwanamke ishuke. Sasa kwanini mwanaume ukae unalia lia unabembeleza bembeleza mwanamke?

Ukiona mwanamke haeleweki achana nae, akishafika miaka 30 na haoni wa kumuoa ndio atashika adabu.

HAKUNA KUBEMBELEZA MWANAMKE.

MCHUNGUZI HURU

Ingependeza ukaweka supporting figures, tungechangia confidently
 
loooh kama mpo wengi mbona mkimwagwa mnalia? mapenz s rahis hivyo unavyofikiria ww.. kama umeumizwa pole na hayo ndo maisha ya mpito tu. ingekuwa hivyo unavyofikiria ww mbona raha sana.. kumbuka na si kila mwanamke unayemwona ukajua anakufaa.. angalia kijana utaruka mkojo waenda kukanyaga mavi... akili kum-kichwa.
 
kuna mijitu humu Duniani imeumbwa KUBANJUA WAKE ZA WATU TU
ww acha kumbembeleza uone Houseboy anavyomkunja chumamboga bandani humo
au mleta Mada hujaoa????
 
tengua kauli kaka..thamani ya mwanamke ni kubwa kuliko mnyama (mbuzi).hata kama utabaki peke yako duniani.mwanamke ni mwanamke tu..hauwezi kujilinganisha na mwanamke atasiku moja..

sitengui kauli, ndo nshasema sasa.
 
hivi ushawai kukaa chini na kufikiri tatizo lipo kwanani.au unaaza tu kulaumu wanawake wengi kuliko wanaume.kwa taarifa yako wanaume ndo chanzo kikubwa cha madiliko hayo...badiliken nyinyi ili muongezekeee

hatutaki kuongezeka ili thamani yetu izidi kuwa juu zaidi
 
Back
Top Bottom