Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,153
- 124,768
endelea kuwa na subira maana ''A clear rejection is always better than a fake promise.''
hahahah hivi we Tyta kazi yako kusoma signecha za watu eeh?
endelea kuwa na subira maana ''A clear rejection is always better than a fake promise.''
U r right to think soo,
But most of tyme mahusiano mkaka ndio anayaanza bt tek it from me, mdada ndo hua mstari wa mbele kuhakikisha hayavunjiki, unles iwe mimba ya one night stand hapo pia mdada atajaribu kuomba ndoa, lengo kuu watoto wasihangaike kwa kukosa mapenzi ya baba,
Interesting part is that nowadays men tek us for granted na akishaona unajilazimisha mapenzi yaendelee atakufanya chochote inafikia point of no return dada anasema (Basii Nendaaaa nibaki na wanangu maana akingangana hata watoto wataharibikiwa so inabidi mdada aplay part yake na ya baba mambo yaende.
Hivyo ndo nnavyomaanisha, namimi ni muumini wa kua na watoto hata kumi wa baba mmoja bt if n only if mazingira yanaruhusu
wakifika miaka 30 kwenda juu wanachanganyikiwa... ukiingia love connect utaona wabibi wanavyotafuta mabwana.
sawa mkuu nimekuelewa nitajitahid badilisha mtazamo wangu
Inaelekea washa kuvuruga tayari pole sana itabid tuwapeleke kijesh yan ile we kuja hapa.
ni nzuri kwa afya yako na ya watoto pia, trust me our generation kuna kizazi hatari sana tunachokitengeza bila sisi wenyewe kujijuwa.
off topic, hivi flora na Emma mbasha watakuwa na excuse gani kwa mtoto wao? hii bad life memory.
Sijui kwa kwel watoto wao wameshapata shida kwenye akili tayar
nadhani sasa unapata big picture, beef za wazazi tujiepushe zisiingie kwa watoto, kwa mfano una mtoto au watoto let the kid enjoy kwamba hawakuzaliwa na allies bali wanaye baba and he love's them.
nlikuwa namuulizia Kaizer kwamba wewe uko wapi mbona sikuoni?
nilikua namuandalia habby chai ya tangawizi...mahaba ninyonge mie
wacha weee ntakutafuta siku moja unibembelezepo lol
hofu yangu utaning'ang'ania
Yaani hii mada ni ya kitoto kabisa.