Mlolongo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 3,274
- 5,896
Wakuu wangu wazuri nawabusu.
Kuna mdogo wangu amemaliza Form Four Kisutu girls pale posta (Shule ya serikali) ana division two.
Sasa kuna Uncle alimuahidi kuwa akipata ufaulu mzuri atamsomesha Advanced shule moja private ipo Tanga.
Dogo anatarajia kusoma PCB (tuseme combination za science)
Sasa jana kuna jamaa alikuja home akatutisha akasema huo mpango wa kumpeleka private tuachane nao mara moja. Badala yake tusubiri selection za form five.
Amedai kuwa Sera za hivi sasa za HESLB kama umesoma private (either O level ama Advanced au level zote mbili) basi mkopo hupati bila kujali ume apply course gani chuo.
Sasa nauliza wenye watoto au wadogo zenu na wadau mlioko sekta ya elimu, hii Sera ni kweli iko hivi?
Kumbuka hiyo private anatarajia kusomeshwa kwa msaada wa mtu, baada ya hapo msaada unakoma. Tunatarajia asome combination mfano PCB.
Kuna mdogo wangu amemaliza Form Four Kisutu girls pale posta (Shule ya serikali) ana division two.
Sasa kuna Uncle alimuahidi kuwa akipata ufaulu mzuri atamsomesha Advanced shule moja private ipo Tanga.
Dogo anatarajia kusoma PCB (tuseme combination za science)
Sasa jana kuna jamaa alikuja home akatutisha akasema huo mpango wa kumpeleka private tuachane nao mara moja. Badala yake tusubiri selection za form five.
Amedai kuwa Sera za hivi sasa za HESLB kama umesoma private (either O level ama Advanced au level zote mbili) basi mkopo hupati bila kujali ume apply course gani chuo.
Sasa nauliza wenye watoto au wadogo zenu na wadau mlioko sekta ya elimu, hii Sera ni kweli iko hivi?
Kumbuka hiyo private anatarajia kusomeshwa kwa msaada wa mtu, baada ya hapo msaada unakoma. Tunatarajia asome combination mfano PCB.