adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,949
- 23,088
Habari za mchana Wana Jf.
Kuna mdogo wangu amefaulu kidato cha Nne nataka nimbadilishie shule na combination alizochagua awali huko Shuleni baada ya yeye kuja na mapendekezo mapya
Muda sasa tokea mwaka 2018 umekuja utaratibu mpya wa online unao muwezesha mwanafunzi kubadilisha shule , combination au kuchagua chuo ama advance baada ya matokeo ili kuendana na uhalisia na matakwa husika . Mpaka sasa naona kimya nimekuja humu kuuliza ili kupata muongozo kama tayari, nado au hakuna kabisa mwaka huu.
#UziTayari
Kuna mdogo wangu amefaulu kidato cha Nne nataka nimbadilishie shule na combination alizochagua awali huko Shuleni baada ya yeye kuja na mapendekezo mapya
Muda sasa tokea mwaka 2018 umekuja utaratibu mpya wa online unao muwezesha mwanafunzi kubadilisha shule , combination au kuchagua chuo ama advance baada ya matokeo ili kuendana na uhalisia na matakwa husika . Mpaka sasa naona kimya nimekuja humu kuuliza ili kupata muongozo kama tayari, nado au hakuna kabisa mwaka huu.
#UziTayari