At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Sahvi si naskia Kuna selform wanajazia online ajaze shule ya bweni inayoendana na ufaulu wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahofia kutokana na matokeo yake kuna uwezekano mkubwa mtoto akapangiwa tena shule za day hapa hapa Dar. Mfano Jangwani, Kibasila, Benjamin Mkapa nakadhalika.
Sasa huyu binti kwa kweli amechoka sana kusoma day Dar. Purukushan za usafiri kutoka Tegeta au Bunju mpaka posta kwenda kurudi. Ukizingatia PCB mzee sio mchezo.
Na tukisema tusubiri apangiwe Day kisha tumfanyie uhamisho usumbufu wake sio mchezo kupata shule ya boarding.
Sent using Jamii Forums mobile app