Mzembe flani
Senior Member
- Jul 1, 2019
- 190
- 208
Umemalza Bro,advance ni ww mwnyw tu ata akipelekwa wapi.Government ni nzur zaidi kulko prvate na misuli mirefu inahtajika zaidi kwa yy,maana apo tokeo lake litachza kwny div 2- 3 kwa f6 km asipoangalia vzur.Mkopo atapata endapo atapata kozi zenye priority.
Lkn kusoma private iwe primary,ordinary au advanced level kunapunguza % kadhaa kwenye vigezo vya kupata mkopo.
BTW kwa nn aende private? Shule za advance za government zinafanya vzr sana. Pia advance huwa ni wewe mwenyewe plus tuition kwa sana.
Mshauri huyo mjomba wako hizo pesa za kumsomesha private azielekeze kwenye kumsomesha tuition kwa sana.
Unforgetable
Sent using Jamii Forums mobile app