Ni kweli mwanafunzi akisoma Shule binafsi hatapewa mkopo akifika chuo?

Mkopo atapata endapo atapata kozi zenye priority.

Lkn kusoma private iwe primary,ordinary au advanced level kunapunguza % kadhaa kwenye vigezo vya kupata mkopo.

BTW kwa nn aende private? Shule za advance za government zinafanya vzr sana. Pia advance huwa ni wewe mwenyewe plus tuition kwa sana.

Mshauri huyo mjomba wako hizo pesa za kumsomesha private azielekeze kwenye kumsomesha tuition kwa sana.



Unforgetable
Umemalza Bro,advance ni ww mwnyw tu ata akipelekwa wapi.Government ni nzur zaidi kulko prvate na misuli mirefu inahtajika zaidi kwa yy,maana apo tokeo lake litachza kwny div 2- 3 kwa f6 km asipoangalia vzur.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu wangu wazuri nawabusu.

Kuna mdogo wangu amemaliza Form Four Kisutu girls pale posta (Shule ya serikali) ana division two.

Sasa kuna Uncle alimuahidi kuwa akipata ufaulu mzuri atamsomesha Advanced shule moja private ipo Tanga.

Dogo anatarajia kusoma PCB (tuseme combination za science)

Sasa jana kuna jamaa alikuja home akatutisha akasema huo mpango wa kumpeleka private tuachane nao mara moja. Badala yake tusubiri selection za form five.

Amedai kuwa Sera za hivi sasa za HESLB kama umesoma private (either O level ama Advanced au level zote mbili) basi mkopo hupati bila kujali ume apply course gani chuo.

Sasa nauliza wenye watoto au wadogo zenu na wadau mlioko sekta ya elimu, hii Sera ni kweli iko hivi?

Kumbuka hiyo private anatarajia kusomeshwa kwa msaada wa mtu, baada ya hapo msaada unakoma. Tunatarajia asome combination mfano PCB.
Sio kweli boss,muache asome ahakikishe anafanya vzur tu advance.
Heslb lazma wamkumbuke by default

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkopo wenyewe wa HESLB ni Debt Trap sijui kwanini watu huwa mna shobo nayo.

Kopa HESLB Utalipa Mpaka Unastaafu Na Kimshahara Chako Cha Laki 5
 
Hicho kitu kina Ukweli Fulani wanachukua aliyesoma shule za serikaki Mzazi wake maskini kitu ambacho si kweli Kuna wazazi Wana pesa na mavyeo serikalini na bungeni ila bahili. Wanasomesha watoto shule za serikali

Sasa hivi baada ya bodi kuonyesha wazi kuwa inapendelea waliosoma shule za serikali wazazi Wenye uwezo Wengine wameamua watoto wao wasome za serikali

Ila nitoe angalizo msingi wa mtoto kielimu unatakiwa kuwa imara hasa kuanzia shule za msingi na sekondari.Mzazi usiogope kumpeleka mtoto private kisa tu unaogopa mbele bodi ya mikopo itamnyima!!! Wewe andaa tu mwanao awe vizuri kwa level zote hasa za msingi na sekondari mengine mwachie Mungu atamsaidia mwanao mbele ya Safari
Ushauri wa hovyo kabisaa! Huko shule za serikali wapo watoto wanapata daraja la kwanza..kwa nn wasiwe wa kwako!?? Yaani unahangaika kumpeleka mtoto private kwa mtaala huu huu,wewe una akili kweli!??

Kama una uwezo peleka mtoto private kwenye shule ambazo hawatungiwi mitihani na necta..kama unapeleka private halafu mtihani anafanya huu wa necta wewe mzazi ni mjinga na unachangia kumfanya mtoto mjinga.

Mtoto wangu amesoma Mbagala secondary o-level na akapata daraja la kwanza..!! Kaenda advanced shule ya serikali tanga,napo kafaulu. Mjengee uwezo wa mtoto wa kujitambua..pesa hazitamfanya ajitambue!! Mtoto km anajitambua anafaulu shule yoyote...
 
Ushauri wa hovyo kabisaa! Huko shule za serikali wapo watoto wanapata daraja la kwanza..kwa nn wasiwe wa kwako!?? Yaani unahangaika kumpeleka mtoto private kwa mtaala huu huu,wewe una akili kweli!??

Kama una uwezo peleka mtoto private kwenye shule ambazo hawatungiwi mitihani na necta..kama unapeleka private halafu mtihani anafanya huu wa necta wewe mzazi ni mjinga na unachangia kumfanya mtoto mjinga.

Mtoto wangu amesoma Mbagala secondary o-level na akapata daraja la kwanza..!! Kaenda advanced shule ya serikali tanga,napo kafaulu. Mjengee uwezo wa mtoto wa kujitambua..pesa hazitamfanya ajitambue!! Mtoto km anajitambua anafaulu shule yoyote...
Issue ni global compettition Mzazi anayejielewa hamsomeshi.mtoto serikalini ili apate division one watu wanapeleka watoto shule zinazofundisha sio kiingereza tu wanataka mtoto asome international language zingize Kama French ili awe marketable kimataifa.French Necta mtihani wa primary,form four na six huwa wanatunga
 
Hii ni mbaya sana aisee.
Hiyo ya priority course sijui kama inafanya kazi. Mimi mdogo wangu
alisoma engineering na hakupata mkopo.
O' level alisoma private alisomeshwa na shirika na advance alisoma private na alisomeshwa na mtu baada ya kuona ana uwezo darasani Ila hana mtu wa kumsomesha advanced level.
Priority haipo Siku hizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wa hovyo kabisaa! Huko shule za serikali wapo watoto wanapata daraja la kwanza..kwa nn wasiwe wa kwako!?? Yaani unahangaika kumpeleka mtoto private kwa mtaala huu huu,wewe una akili kweli!??

Kama una uwezo peleka mtoto private kwenye shule ambazo hawatungiwi mitihani na necta..kama unapeleka private halafu mtihani anafanya huu wa necta wewe mzazi ni mjinga na unachangia kumfanya mtoto mjinga.

Mtoto wangu amesoma Mbagala secondary o-level na akapata daraja la kwanza..!! Kaenda advanced shule ya serikali tanga,napo kafaulu. Mjengee uwezo wa mtoto wa kujitambua..pesa hazitamfanya ajitambue!! Mtoto km anajitambua anafaulu shule yoyote...
mtoto kuwa marketable kimataifa anatakiwa ajue lugha mbili za kimataifa kingereza na kifaransa na Necta hutunga mitihani Yake kuanzia shule za msingi na sekondari wewe nadhani uko usingizi I unakoroma hata huelewi NeCta Ni kitu gani na inafanya Nini utakuwa vile vizee vijinga jinga vilivyo salia serikalini vinavyofanya kazi kwa mazoe mjinga wewe toka staafu mbwa wewe pisha vijana
 
Mimi kaka yangu amesoma 4m1 mpk 4m4 private na 5na 6 serikali mbn anakula boom lake lakin wanaangalia na karo ya shule uliyo soma kama n zaid ya million 4 Hapati mkopo lakin chini y hapo anapata mkopo kwo Hio shule isiwe na karo ndefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri wa hovyo kabisaa! Huko shule za serikali wapo watoto wanapata daraja la kwanza..kwa nn wasiwe wa kwako!?? Yaani unahangaika kumpeleka mtoto private kwa mtaala huu huu,wewe una akili kweli!??

Kama una uwezo peleka mtoto private kwenye shule ambazo hawatungiwi mitihani na necta..kama unapeleka private halafu mtihani anafanya huu wa necta wewe mzazi ni mjinga na unachangia kumfanya mtoto mjinga.

Mtoto wangu amesoma Mbagala secondary o-level na akapata daraja la kwanza..!! Kaenda advanced shule ya serikali tanga,napo kafaulu. Mjengee uwezo wa mtoto wa kujitambua..pesa hazitamfanya ajitambue!! Mtoto km anajitambua anafaulu shule yoyote...
Wewe na mzee wangu mko sawa. Hadi leo sijawahi elewa kwanini alinilazimisha nisome shule ya kata. Yani ningesoma private ningekuwa mbali vibaya mno, namanisha mbali kweli. Hivi unajua tofauti ya shule ya kata na private inayoeleweka au unaongea tu. Wewe si unaamini kufaulu mitihani ndo kuwa na akili? Exposure hainaga mtihani, tutaiona kwenye output zako ukiingia mtaani. Private wengi wanakuwa more advanced zaidi ya kina nani wengine. Ngoja nipate hela nitalipiza kisasi.
 
Umeandika mavi. Tena mavi ya uharo.
Kwahiyo kama mtu hana uwezo wa kumlipia gharama za masomo ya chuo mtoto wake afanyeje?? Aache chuo???
Mavi. Mavi ya uharo.
Kafie mbele, wakati unazalishwa ulijua kuna mikopo ya bure. Viswahili bana, TAKATAKA.
 
Ni kweli mtoto akisoma private kwa awamu hii hapati mkopo ,awamu zilizopita walipewa. Mm mtoto Wangu kwasoma private olevel na A-level aka apply mkopo na jina likatoka ktk kundi lililohakikiwa na kuwa sahihi kupata mkopo,sasa yuko chuo mpaka sasa ajawahi kupokea hata sumni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda niseme maskini huwa hakopesheki husaidiwa bure.Kama seriksli inataka kusaidia watoto maskini isasomeshe bure kuwakopesha Ni kuwaonea mokopo wapewe watoto wa Wenye uwezo ili pesa zirudi wakimaliza.Chukulia mtoto wa mwenye uwezo.mfano kadomeshwa na Mzazi wake anamaliza chuo anaajiriwa yeye Hana Deni hata moja hivyo.mshahara mnono wote wake ,maskini aliyekopeshwa Alianza kazi anaanza na madeni makubwa ya mkopo.wa elimi ya juu anaanza maisha ya mateso kuanzia Mwezi anaoajiriwa.Mwenzie anatembea kitua mbele hadaiwi hata Mia.Serikali isomeshe bure tu hai watoto wa maskini siprndi binafsi kitendo Cha kuwakopesha
Naunga mkono serikal kukata pesa iwe kwa maskin au tajir
Nchi yetu bado ni maskin na kiwango cha ufaulu kinaongezeka kila siku
Wanaotakiwa kusomeshwa wanaongezeka kila kukicha
Labda serikal ipunguze ukataji wa makato katika kufidia deni na ipunguze riba pia hiyo ndo njia sahihi ya wote kufaidika serikal na mkopeshwaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunahofia kutokana na matokeo yake kuna uwezekano mkubwa mtoto akapangiwa tena shule za day hapa hapa Dar. Mfano Jangwani, Kibasila, Benjamin Mkapa nakadhalika.

Sasa huyu binti kwa kweli amechoka sana kusoma day Dar. Purukushan za usafiri kutoka Tegeta au Bunju mpaka posta kwenda kurudi. Ukizingatia PCB mzee sio mchezo.

Na tukisema tusubiri apangiwe Day kisha tumfanyie uhamisho usumbufu wake sio mchezo kupata shule ya boarding.
Uhamisho si upo? Lakini pia hizo shule ulizozitaja zina hostel pia kwa gharama ndogo ni wewe kuwa attention machaguo yakitoka kuwahi nafasi za bweni hata kwa kuhonga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najiuliza sipati majibu, kama mkopo anapewa mwanafunzi ili pindi atakapomaliza chuo arejeshe huo mkopo, sasa kwanini kuwe na ubaguzi wa kutoa hiyo mikopo!? Mimi nazani mikopo wangepewa wote wenye vigezo vya kwenda chuo kikuu bila kubagua shule aidha ya serikali au binafsi.
 
Back
Top Bottom