Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

We ushawahi kumuona akitumia hiyo mihadarati??

Tatizo wabongo mnapenda kumpaka mtu aifa mbaya mbaya tu hata kama ana nzuri kibao. Na hao watu wengine wanakuaje influenced kwa tetesi tu kua anatumia wakati hata hawajawahi kumuona akitumia au yeye kusema anatumia.??
Mimi hakuna mahali katika statement yangu nimesema kuwa anatumia, no ila nimekujibu kulingana na wewe ulivosema ananunua kwa pesa yake means unahalalisha icho kitu ndio nikauliza kwa vile ananunua kwa pesa yake hivyo ni halali yeye kutumia?
 
Atakuwa anatumia unga wa matajiri ( cocaine), lakin inabidi achunge Sana, kama ameanza unga, heroin haipo mbali. Na akifika huko amekwisha!!!
 
Kumbe unga wa matajiri ndo cocaine na hawa wa stand za daladala ndo wanabwia heroine?
Ndio mkuu, Cocaine haina madhara makubwa ya haraka kama heroin. Matajiri wengi wanakula ile, kina Manji nk..Heroin inachanganywa na takataka nyingi sana. Na unakuwa addicted kweli kweli. Ndo hawa wa stand
 
Mimi hakuna mahali katika statement yangu nimesema kuwa anatumia, no ila nimekujibu kulingana na wewe ulivosema ananunua kwa pesa yake means unahalalisha icho kitu ndio nikauliza kwa vile ananunua kwa pesa yake hivyo ni halali yeye kutumia?
Ni halali mkuu mi naona ni poa tu as long as hatumuoni wala hakuna ushahidi wa kua anatumia hayo madude, kwa maana hiyo kwake hayamuaffect acha atumie.
 
Duh.. chief ushawai kukaa karibu na mrahibu wa dawa kulevya? Kumsogelea au kuuguza? Sali sana na hii kauli futa kabisa chief..
Achana na hofu za namna hiyo wewe, kwahiyo hayo maneno yatamleta mraibu wa unga wa karihu yangu ama. Hiyo imani tu ndgu yangu kama ipo ipo tuu.
 
nasemaje, nipe mkono..
FB_IMG_16375660273730104.jpg
 
Kwa sisi wazoefu, ukimtazana Diamond, haraka sana unajua jamaa ana snort cocaine. hilo halina ubishi.

Ila nahisi atakuwa anatumia coc grade A, ile anayotumia tajiri fulani kijana aliyewekeza kwenye timu ya mpira wa miguu.

Vile naumia kusoma hiz habari dah!!
Isiwe kweli yarrabi.
😭😭😭😭🙏
 
Naomba kuuliza hawa wasanii wetu haya tunayoyaongeleaga humu yana uhalisia ama ni dhahani.

Nilipigwa na butwaa kuja kuona harmo ile gar ya aud 4 alipost na kusema yake, wakat ameachwa na sarah tukaona gari linaombwa.

Nikawaza msanii anaejiita mkubwa anashindwa kumiliki Aud 4 ya milion 20,

Basi niishie kusema tu hata hizo milion 600 usikute ni maneno tu ya media, lakini naamin wasanii wetu wanaishi maisha ya kipato cha chini sana.

ebitoke aliwah kusema nipost gar langu, kisha akala kona! Nikajua huyu itakuwa gar hana ama analo la kawaida tofaut na sifa anazotaka jamii imchukulie
Ila wasafi hawajawahi kukanusha kwamba walilipwa hela na Harmonize japo ni hasimu wao.
 
Picha za Naseeb siku hizi sizielewi.

Something is missing, he is not himself.
Jesus, isiwe kuwa ni kweli.
I love the boy
Dah!!
 
Huyo konde ni mataqo tu. Amesema unga mataqo wengine wakadhani madawa, Mond anatumia protein powder. Kwa tunaojua ukitumia hiyo kitu lazima ufanye mazoezi sana ili kutengeneza mwili uwe na mwonekano bomba.

Angekuwa anatumia huo unga mnaoudhania asingeweza kufanya shows kila mara. Lakini PP inampa nguvu sana ndio sababu huyo konde taqo hawezi simama muda mrefu stagen ni mond
Protein powder ina madhara kwa mwili,ni bora aache kutumia, ndio chanzo kikubwa cha vifo vya wacheza mieleka na wabeba vyuma huko majuu.
 
Back
Top Bottom