Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,447
- 5,299
Mimi hakuna mahali katika statement yangu nimesema kuwa anatumia, no ila nimekujibu kulingana na wewe ulivosema ananunua kwa pesa yake means unahalalisha icho kitu ndio nikauliza kwa vile ananunua kwa pesa yake hivyo ni halali yeye kutumia?We ushawahi kumuona akitumia hiyo mihadarati??
Tatizo wabongo mnapenda kumpaka mtu aifa mbaya mbaya tu hata kama ana nzuri kibao. Na hao watu wengine wanakuaje influenced kwa tetesi tu kua anatumia wakati hata hawajawahi kumuona akitumia au yeye kusema anatumia.??