Ni kweli Diamond Platnumz anatumia unga/madawa ya kulevya?

Aaahh wapi. Kakuambia Nani Album imebuma? Hatafuti Kiki Ila mlitenga ugali ameweka mboga Safi juu. Tunasubiri wenye jukumu na simu za techno wanunuliwe bando waje kutapika. Chawa hao Ila ndiyo Harmonize hawamkuti tena dunia hii. Yuko mbali. Na Lebo itakua Tu. Hata huyo mla unga Mondi hakuanzia hapo alipo. Aliswagwa na Clouds akakomaa akatoka na yeye ameswaga wasanii wakajifia Ila Harmonize ametoboa. Na ndiyo maana walimbeza eti ukitoka WCB atakufa kimziki. Mbona hajafa mpaka Leo hii? Mtasubiri Sana.
P O V U KAMA LOTE
 
ila ukiangalia vizuri kabisa deep inside mond inaonekana anatumia unga na Hana furaha kabisa ,amekonda na anaforce furaha kabisa ....
 
Mtu akunyonye 600m akaona hujafa. Akaamua akuweke chawa wa kukutafuna na yeye kutumia mafumbo. Huwezi kukaa kimya na ukweli alisema. He deserves a credit for that #Harmonize. Tumeujua ukweli.
Kubali kataa dogo kashuka sana, album yake imebuma kinyama ni vile tu ana kajina la sivyo ile album ni utopolo tu.

Kwani mbona na yeye alikua anajibu na sometime yeye ndie anaanzisha vijembe hasa kwenye nyimbo zake na ngoma kibao kwenye album yake kamsema bosi wake wa zamani.

Yani ingekua mwamba hajihu afu ndo akaja kusema hayo alosema, sawa ila yeye vijembe anaviimba alivoona anapuuzwa sanabasi ndo kaamua aje na hii.
 
Hayo makovu ya harmonize ni sababu ya nini shosti?

Mkuu umenena. Na hii itamgharimu Sana Mkuu. Baba uliyemkojolea usiku na mchana. Akakubeba eti unakuja kumkana hadharani kwa dharau kabisa. Yaani huyo ndiyo Baba yake no matter what. Anguko linakuja.
Najazia nyama tuu, wazazi wapo wa aina tatu. Aliyekuzaa, aliyekulea, na aliyekusomesha.Hao woote ni wazazi.
 
Kubali kataa dogo kashuka sana, album yake imebuma kinyama ni vile tu ana kajina la sivyo ile album ni utopolo tu.

Kwani mbona na yeye alikua anajibu na sometime yeye ndie anaanzisha vijembe hasa kwenye nyimbo zake na ngoma kibao kwenye album yake kamsema bosi wake wa zamani.

Yani ingekua mwamba hajihu afu ndo akaja kusema hayo alosema, sawa ila yeye vijembe anaviimba alivoona anapuuzwa sanabasi ndo kaamua aje na hii.
Vp iyo albamu umeisikiliza???
 
Back
Top Bottom