ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Haya mataifa mawili yaani Russia na China yanawachukia Sana Waislam kuliko USA.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo, China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu.
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za Magharibi.
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao.
Tatizo ni nini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.
Waislam USA wanaabudu kwa Uhuru zaidi kuliko China na Russia lakini cha kushangaza waislam wanaichukia Sana Marekani
Taifa la China linatamani hata Leo waislam wasiwepo, China ndiyo hivyo tu wanabanwa na Marekani kuhusu Uhuru wa kuabudu.
Utashangaa watu wametoka nchi za kiislamu, wako USA au Europe na wanapewa Uhuru wa Kuandama na wanazitukana hizi nchi za Magharibi.
Utashangaa Uhuru huo hawana wakiwepo hizo nchi zao.
Tatizo ni nini? Taifa la China linatamani hata kesho kuufuta uislam lakini waislam ndiyo kwanza wanaisifia.