Hata matajiri wa kihaya??Ni watu flani simple sana kimavazi, kimazungumzo na hata kimuonekano.
Kimsingi utajiri huanzia rohoni.Ni watu flani hasa wamiliki wa makampuni ya utalii, vituo vya mafuta, mabasi ya mikoani, n.k. wapo simple sana kimavazi, kimazungumzo na hata kimuonekano.
Uliposema kuingiza....nikawaza tofauti🙂Mkuu gearbox yako inaingiza gia ngapi? Maana uko race mno
Hawaheshimiki, ndivyo jamii inavyotaka hivyo...Ni watu flani hasa wamiliki wa makampuni ya utalii, vituo vya mafuta, mabasi ya mikoani, n.k. wapo simple sana kimavazi, kimazungumzo na hata kimuonekano.
Rahisi tu hajaruhusu uwezo wa kifedha ubadilishe tabia/muonekano. Super!!Ni watu flani hasa wamiliki wa makampuni ya utalii, vituo vya mafuta, mabasi ya mikoani, n.k. wapo simple sana kimavazi, kimazungumzo na hata kimuonekano.
Vichenji vinajikusanya mpaka account inasoma Bilioni kadhaaWanatuheshimu kwasababu huwa tunawapa vichenchi vya hapa na pale.
ASANTE.
PambanaZaidi/CottonandMore