R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Watu wakiwa na vyeo ama wanafanya kazi taasisii flani unakuta wanaheshimiwa kuzidi wafanya biashara, wakulima, wafugaji, n.k. wenye pesa zaidi, kwanini ?
Top shelf- Wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa taasisi, n.k.
Mahakamani - mahakimu ha majaji
Jeshini - Wengi wakivaa gwanda tu respect ila hasa kuanzaia ngazi ya luteni
Polisi - maofisa wa makosa ya jinai, maOCD, RPC
Ikulu - Yani hata uwe na kazi ya kawaida tu.
CCM - vyeo hasa vya wakuu wamatawi ya chama kuanzia ngazi ya wilaya.
TRA - cutom officers, Wahasibu na wakaguzi, makamishna, n.k.
BOT
Bandarini
Usalama wa taifa
Tanesco
Nssf
n.k
Top shelf- Wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, wakurugenzi wa taasisi, n.k.
Mahakamani - mahakimu ha majaji
Jeshini - Wengi wakivaa gwanda tu respect ila hasa kuanzaia ngazi ya luteni
Polisi - maofisa wa makosa ya jinai, maOCD, RPC
Ikulu - Yani hata uwe na kazi ya kawaida tu.
CCM - vyeo hasa vya wakuu wamatawi ya chama kuanzia ngazi ya wilaya.
TRA - cutom officers, Wahasibu na wakaguzi, makamishna, n.k.
BOT
Bandarini
Usalama wa taifa
Tanesco
Nssf
n.k