Narudia tena . nikweli kuna ma agent mamba wakali. Lakini wengine hawajui hata kukunja ngumi.
Nawewe ni mmoja wao?
Narudia tena . nikweli kuna ma agent mamba wakali. Lakini wengine hawajui hata kukunja ngumi.
Nawewe ni mmoja wao?
Sasa UVCCM na usalama wapi na wapi? Jamani muwe mnasoma hata vile vitabu vya Akina Elvis Musiba. Hiki kizazi kwakweli Mungu kinusuru na uvivu wa kutafutwa maarifa. Tafuta historia ya Putin ndo utaelewaAcha uongo wewe. Vijana wengi wa UVCCM tumewapeleka usalama na hao nao ni makomando????!
usalama wa taifa wengi wanapenda sifaNimesikia mahala kuwa COMMANDO (si lazima awe wa Tanzania) ana uwezo wa kupata taarifa nyeti hata kuliko Mwana Usalama Taifa mwenyewe. Kwa mfano; COMMANDO wa Malawi anaweza akaenda nchini Zimbabwe katika maeneo yao muhimu na akapata akitakacho na wala asishtukiwe, lakini kwa Usalama wa Taifa wa Malawi anaweza kwenda ila atagundulika kwa haraka sana tu.
Wajuvi wa haya Masuala mliojazana hapa Jamvini JamiiForums, karibuni mtuelimishe na sisi akina Mzukulu ili nasi tuwe na Maarifa kama nyie pia.
Tuambie huo ukweli basi wewe unaejuaMuongo huyo.
Tueleze sasa ujuavyo weweNdugu yaani Jamaa huyo aliposema kuwa eti huwezi kuwa mwana Usalama wa Taifa kama siyo COMMANDO nikajua Wajinga hawajaisha nchini.
Kama zipiusalama wa taifa wengi wanapenda sifa
Kuna mtu umemlenga direct
kwani wewe umeuliza wa mwaka gani?Samahani hapa unawamaanisha wale wa 1961 hadi 1985 au wa 1985 hadi wa 2005 au hawa wa 2006 hadi sasa 2020 Ndugu? Nasubiri Jibu lako tu.
Akili ndogoKwani Uzi wangu ukipuuzwa kuna chochote kile Kinapungua katika Mwili wangu / katika Akaunti yangu ya Kimuamala? Hebu nitolee Upuuzi huu.
Sio M16 ni MI6Namaanisha kwamba COMMANDO wa Jeshi, anaweza kupewa Oder Na anaweza kutumiwa na kazi za Usalama wa Taifa Katika kufanikisha Jambo lao isipo kuwa yeye sio Kwenye Kitengo chao na akafanya kazi yao Pasipo kujua. Maana hiyo ni taasisi kubwa.Mfano mzuri M 16 wa Uingereza
Ndoto za alinachaYa Mbowe na CHADEMA yake hapa yamekujaje au yana Uhusiano gani wa Kimantiki na Hoja iliyoko Jukwaani Kimjadala? Punguza huo Upumbavu.
View attachment 1490693
Muulize huyu jamaa atakujibu maana mmh ana sifa zote
😂😂😂😂😂 hata akiscan hawezi pata kitu mkuu maana mmm.. Ushafeli ungeificha na hiyo barcode mkuu
Ndio bila kunyaKozi ya awali ya komando nasikia ni miezi 18 kuna ukweli wowote?