Ni kwanini Commando huwa ni jasusi mzuri kuliko yule mtu wa kawaida tu aliyepitia mafunzo ya Usalama wa Taifa?

Namaanisha kwamba COMMANDO wa Jeshi, anaweza kupewa Oder Na anaweza kutumiwa na kazi za Usalama wa Taifa Katika kufanikisha Jambo lao isipo kuwa yeye sio Kwenye Kitengo chao na akafanya kazi yao Pasipo kujua. Maana hiyo ni taasisi kubwa. M 16 wa Uingereza

Kwahiyo ulichokiandika hapa ndiyo unataka Kunishawishi kuwa ukisema COMMANDO na SPECIAL FORCE ni Idara Mbili tofauti kabisa Jeshini au?
 
Kwahiyo ulichokiandika hapa ndiyo unataka Kunishawishi kuwa ukisema COMMANDO na SPECIAL FORCE ni Idara Mbili tofauti kabisa Jeshini au?
COMMANDO ndio Special Force katika Jeshi ,ndio maana wanamafunzo Magumu ya Kivita.
Hivyo hata Kitengo cha Usalama wanawatu zaidi ya COMMANDO katika mbinu za Kimedani hivyo wanao weza fanya kazi za Kijasusi. Naomba niishie hapa. Maana Usalama ni Taasisi hipo kila mahali ni zaidi ya Jeshi katika kupata Taarifa, Ndio maana watu wa Usalama wana wekeza kwenye watu wenye High IQ and High Technology katika kufanikisha mambo yao
 
Huyo ni mtu mmoja, huwezi kuwa afisa usalama kama sio komando, kwaiyo unazungumzia mtu mmoja katika kazi tofauti kama ffu na traffic police
FFU hafanani 100% na trafic. Unatudanganya mkuu. The same kwa commando na usalama wa taifa. Komando ni mpiganaji wa vita katika nyanja zote lakini afisa usalama si mpiganaji hasa, ni mkusanyaji wa taarifa zaidi na kuzipelekea mamlaka husika zichukue hatua.

Afisa usalama siyo lazima awe komando lakini komando ana taaluma zote mbili ingawa ni mbobezi kwenye mapigano zaidi. Yaani komando anaweza kukusanya taarifa na akazitumia.

Niko nje ya hizi field. Wenyewe ongezeeni.
 
Ni kwasababu komando ni rahisi kuwa usalama wa taifa kuliko mtu wa usalama wa taifa kuwa komando.. Hata wewe leo unaweza kuwa usalama wa taifa
Nimesikia mahala kuwa COMMANDO (si lazima awe wa Tanzania) ana uwezo wa kupata taarifa nyeti hata kuliko Mwana Usalama Taifa mwenyewe. Kwa mfano; COMMANDO wa Malawi anaweza akaenda nchini Zimbabwe katika maeneo yao muhimu na akapata akitakacho na wala asishtukiwe, lakini kwa Usalama wa Taifa wa Malawi anaweza kwenda ila atagundulika kwa haraka sana tu.

Wajuvi wa haya Masuala mliojazana hapa Jamvini JamiiForums, karibuni mtuelimishe na sisi akina Mzukulu ili nasi tuwe na Maarifa kama nyie pia.
 
COMMANDO ndio Special Force katika Jeshi ,ndio maana wanamafunzo Magumu ya Kivita.
Hivyo hata Kitengo cha Usalama wanawatu zaidi ya COMMANDO katika mbinu za Kimedani hivyo wanao weza fanya kazi za Kijasusi. Naomba niishie hapa. Maana Usalama ni Taasisi hipo kila mahali ni zaidi ya Jeshi katika kupata Taarifa, Ndio maana watu wa Usalama wana wekeza kwenye watu wenye High IQ and High Technology katika kufanikisha mambo yao
Hakuna afisa usalama alie juu ya komando. Huu ni uwongo wa mchana.
Kinachotokea ni kuwa kuna baadhi ya makomando hupangiwa kazi za usalama wa taifa kwa lengo maalum hasa pale afisa usalama anapotakiwa kufanya kazi zote mbili kwa wakati mmoja hasa ujasusi.
 
Jibu.
Kuna maafisa usalama wengi ambao ni makombando, ila kuna makomando wachache ambao ni maafisa usalama.

Huyo komando unamsema kaenda malawi jua kuna maafisa usalama walisha muandalia njia zote za kupita ikiwezekana hadi ikulu ya malawi akafika.....
Tena huyu alieandaa njia anaweza asiwe afisa usalama ila akatumiwa raia wa kawaida tu.. ila pia anaweza kuwa afisa usalama ila asiwe na mafunzo ya ukomandoo ila akawa ana basics za military trainings.

Kwa ufupi mission yoyote inayofanywa na Jeshi lolote ulimwenguni inahusisha agency ya usalama kwa zaidi ya 80%... Maafisa usalama hutangulia katika vita yoyote tena miezi mingi tu kabla ya tukio halisi
Unachopaswa kujua ni kwamba kila jambo lina dalili na maafisa usalama huwa wa kwanza kuzinusa dalili bila kujali uzito wa dalili husika.

Afisa usalama ni kichwa wakati jeshi ni nguvu so kuna mda unaweza kuona mtu mjinga na unajiuliza kaipataje kazi ya usalama ila jua ujinga wake ndio uliompa kazi hiyo....

Nimejisikia kuandika tu.
 
Hakuna afisa usalama alie juu ya komando. Huu ni uwongo wa mchana.
Kinachotokea ni kuwa kuna baadhi ya makomando hupangiwa kazi za usalama wa taifa kwa lengo maalum hasa pale afisa usalama anapotakiwa kufanya kazi zote mbili kwa wakati mmoja hasa ujasusi.
Uliemkanusha anajua zaidi yako.... Yan kuisambaratisha ngome ya makomando 1000 inahitaji afisa usalama mmoja tu aliendaliwa kwa kazi husika..... Na inahitaji maafisa 10 wa kitengo kujua taarifa za kambi zote za makomando nchini tena wakiwa wamekaa mezani tu. Hutaki Acha
 
ccm ina wajinga wengi kupita kiasi
CCM ndio inaongoza dola na vyombo vyote vya ulinzi ikiwemo hao usalama wa taifa/makomando,na Ina wajinga!!! Je hiyo Sacco's ya chadema isio ongoza chochote na wanajiita makamanda, wasio ongoza hata jeshi la mgambo huoni wamepitiliza ujinga? Mfano wewe kumuita mwana Sacco's kamanda Ni zaidi ya unyumbu
 
20200627_192710.jpg

Muulize huyu jamaa atakujibu maana mmh ana sifa zote
 
Back
Top Bottom