Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,629
- Thread starter
- #41
Komandoo/kikosi maalum(special tactical military force) ni kikundi maalum cha jeshi kinachojishughulisha na operesheni maalum za siri zisizohitaji kikosi kizima cha jeshi. Hawa jamaa wanafanya operation kwa kutumia info za secret agent (usalama).
Usalama wa taifa /vizuri hapa aitwe intelligence officer Yeye anatoka TISS Lkn kama field agent. Hafahamiki na yeyote isipokuwa na handler wake na maofisa wachache sana wa juu. Si kazi yake kufanya operation ila ye ni mchora ramani wa namna gani makomandoo wanapaswa kufanya. Hufanya yote haya pasipo hata kuonana na makomandoo hao.
Hivyo hakuna uhalisia wa nani ni rahis kukamatwa kuliko mwingine. Kwanza ukikamatwa Nchi yako inakukana pia. Sheria ni hakuna kukamatwa na ukikamatwa hakuna kutoa siri.
Hili ni eneo Pana sana na hapa bongo ni jambo la Siri, haya na wengine watakayoyaleta yatatupanua zaidi.
Umeandika na Kunijibu Kiuweledi zaidi hadi nimefurahi Ndugu. Halafu kuna Madini fulani hapo umenipa. Ninapenda sana tu Werevu kama Wewe.