Ni kwanini Commando huwa ni jasusi mzuri kuliko yule mtu wa kawaida tu aliyepitia mafunzo ya Usalama wa Taifa?

Komandoo/kikosi maalum(special tactical military force) ni kikundi maalum cha jeshi kinachojishughulisha na operesheni maalum za siri zisizohitaji kikosi kizima cha jeshi. Hawa jamaa wanafanya operation kwa kutumia info za secret agent (usalama).

Usalama wa taifa /vizuri hapa aitwe intelligence officer Yeye anatoka TISS Lkn kama field agent. Hafahamiki na yeyote isipokuwa na handler wake na maofisa wachache sana wa juu. Si kazi yake kufanya operation ila ye ni mchora ramani wa namna gani makomandoo wanapaswa kufanya. Hufanya yote haya pasipo hata kuonana na makomandoo hao.

Hivyo hakuna uhalisia wa nani ni rahis kukamatwa kuliko mwingine. Kwanza ukikamatwa Nchi yako inakukana pia. Sheria ni hakuna kukamatwa na ukikamatwa hakuna kutoa siri.

Hili ni eneo Pana sana na hapa bongo ni jambo la Siri, haya na wengine watakayoyaleta yatatupanua zaidi.

Umeandika na Kunijibu Kiuweledi zaidi hadi nimefurahi Ndugu. Halafu kuna Madini fulani hapo umenipa. Ninapenda sana tu Werevu kama Wewe.
 
Komandoo/kikosi maalum(special tactical military force) ni kikundi maalum cha jeshi kinachojishughulisha na operesheni maalum za siri zisizohitaji kikosi kizima cha jeshi. Hawa jamaa wanafanya operation kwa kutumia info za secret agent (usalama).

Usalama wa taifa /vizuri hapa aitwe intelligence officer Yeye anatoka TISS Lkn kama field agent. Hafahamiki na yeyote isipokuwa na handler wake na maofisa wachache sana wa juu. Si kazi yake kufanya operation ila ye ni mchora ramani wa namna gani makomandoo wanapaswa kufanya. Hufanya yote haya pasipo hata kuonana na makomandoo hao.

Hivyo hakuna uhalisia wa nani ni rahis kukamatwa kuliko mwingine. Kwanza ukikamatwa Nchi yako inakukana pia. Sheria ni hakuna kukamatwa na ukikamatwa hakuna kutoa siri.

Hili ni eneo Pana sana na hapa bongo ni jambo la Siri, haya na wengine watakayoyaleta yatatupanua zaidi.
Umemaliza uzi ufungwe
 
Komandoo/kikosi maalum(special tactical military force) ni kikundi maalum cha jeshi kinachojishughulisha na operesheni maalum za siri zisizohitaji kikosi kizima cha jeshi. Hawa jamaa wanafanya operation kwa kutumia info za secret agent (usalama).

Usalama wa taifa /vizuri hapa aitwe intelligence officer Yeye anatoka TISS Lkn kama field agent. Hafahamiki na yeyote isipokuwa na handler wake na maofisa wachache sana wa juu. Si kazi yake kufanya operation ila ye ni mchora ramani wa namna gani makomandoo wanapaswa kufanya. Hufanya yote haya pasipo hata kuonana na makomandoo hao.

Hivyo hakuna uhalisia wa nani ni rahis kukamatwa kuliko mwingine. Kwanza ukikamatwa Nchi yako inakukana pia. Sheria ni hakuna kukamatwa na ukikamatwa hakuna kutoa siri.

Hili ni eneo Pana sana na hapa bongo ni jambo la Siri, haya na wengine watakayoyaleta yatatupanua zaidi.
Hapa kidogo umewapa maana. Usalama wako vizuri zaidi mfano mzuri PSU (Presidential Security Unity) Hawa wana mafunzo Mengi zaidi ya Commando nikimaanisha wanapiga Course nzima ya Commando yaani ni full wing. Na wana High IQ. Katika Ulinzi wa Kijeshi na kutumia dhana zote za Kivita, Pia ni Special Force. Tofauti na Informer
 
Huyo ni mtu mmoja, huwezi kuwa afisa usalama kama sio komando, kwaiyo unazungumzia mtu mmoja katika kazi tofauti kama ffu na traffic police
Acha uongo wewe. Vijana wengi wa UVCCM tumewapeleka usalama na hao nao ni makomando????!
 
Hapa kidogo umewapa maana. Usalama wako vizuri zaidi mfano mzuri PSU (Presidential Security Unity) Hawa wana mafunzo Mengi zaidi ya Commando nikimaanisha wanapiga Course nzima ya Commando yaani ni full wing. Na wana High IQ. Katika Ulinzi wa Kijeshi na kutumia dhana zote za Kivita, Pia ni Special Force. Tofauti na Informer

Umejitahidi sana Kuandika kwa Uzoefu wako, ila sijui kwanini umeshindwa kujua kuwa ukisema COMMANDO basi hao ndiyo SPECIAL FORCE pia.
 
Umejitahidi sana Kuandika kwa Uzoefu wako, ila sijui kwanini umeshindwa kujua kuwa ukisema COMMANDO basi hao ndiyo SPECIAL FORCE pia.
Namaanisha kwamba COMMANDO wa Jeshi, anaweza kupewa Oder Na anaweza kutumiwa na kazi za Usalama wa Taifa Katika kufanikisha Jambo lao isipo kuwa yeye sio Kwenye Kitengo chao na akafanya kazi yao Pasipo kujua. Maana hiyo ni taasisi kubwa.Mfano mzuri MI6 wa Uingereza
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom