Benard Membe kuwa Kachero mbobezi ni ishara ya udhaifu mkubwa idara ya usalama wa Taifa

Gan star

JF-Expert Member
Jul 7, 2016
380
980
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Gan Star! Natumaini kuwa wewe una ulemavu wa akili na fikra pia!
 
Inashangaza sana, hii nchi inawezekana hata sehemu zile nyeti kutakuwa na kundi kubwa la vilaza thus why mambo yanaendelea kuharibika kila uchwao ,

Nimesikia mara nyingi Bwana Membe akiitwa Kachero Mbobezi , sitaki kupinga kuhusu hii sifa na yawezekana kweli alikuwa na sifa hyo , Ila nipende kusema huyu jamaa alikuwa mtu wa hovyo sana na idara ya usalama isirudie kufanya recruitment Kwa watu wa namna hii ... Moja ya makachero wabobezi wasiojielewa kabisa

Katika nchi zote zinazojitambua kachero Mbobezi sku zote huwa ni master of the game ... Huwa anahusishwa kwenye mission ngumu za kitaifa , na haitakiwi yeye kugundulika achilia mbali kuhisiwa ,
Tukija kwetu kama makachero ndo Aina ya Membe tusitegemee lolote la maana , na hii nchi inaenda tuu Kwa kudra za mwenyezi Mungu ....

Kachero gani fisadi , mroho wa madaraka na mchochezi wa wazi wazi , na mwenye kuibua chuki ndani ya Taifa na kuichochea pia , msuguano wake na Maghufuli ulionyesha jinsi jamaa alivyo hopeless kabisa yaani zero unit , inasemekana alihusika kwenye Ile mission ... Mazingira yote yalijionyesha vile, inashangaza yeye na genge lake kuhusika waz waz hii ni too dangerous mno na gharama yake itajilipa mda si mrefu ...

Kitendo cha watu kushangilia kifo chake ni alarm alert kubwa kuwa watu wengi wanaelewa mission alizokuwa anafanya , kujitangaza wazi wazi namna alivyomchukia Maghufuli , kauli zake Tata akiwa na Nape kule kwao , Raisi kumrudisha ikulu , kung'ang'ana na kesi ya msiba haya yote yalionyesha namna mtu wa hovyo alivyopewa kazi nyeti .....

Kuna mdau humu alidokeza
Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

Although alidokeza kilichotokea, na nawapongeza Kwa hlo lakini naona limefanyika too late wakat ambao tayar idara imekuwa damaged na imemeguka makundi makundi ......

Chonde Chonde idara nyeti kama hii isijihusishe na masuala ya kisiasa , watu wa namna hii wasiruhusiwe hata kusogeza pua , tutakuja kulana nyama hv hv .....
Sasa hivi ungekuwa umeolewa huko Misenyi na Idd Amin ukimtotolea watoto 12 .....
 
Back
Top Bottom