Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,017
Ungeweka basi Kikwete anaingiaje hapo..!!Wanadamu tunakuwa wepesi sana wa kusahau. Yaliyomtokea Dr. Mwakyembe baada ya Sakata la Richmond hadi akabadilika sura, tumeshasahau?.
Ungeweka basi Kikwete anaingiaje hapo..!!Wanadamu tunakuwa wepesi sana wa kusahau. Yaliyomtokea Dr. Mwakyembe baada ya Sakata la Richmond hadi akabadilika sura, tumeshasahau?.
Number one killer for old people is retirement....
Lowassa bado yuko poa sababu hajastaafu.
Number one killer for old people is retirement....
Lowassa bado yuko poa sababu hajastaafu.
Rais sio lazima awe wa taifa nchi hii ina marais kibao na wote wanafanya shughuli zao bila bughuzaAcha ujinga wewe. Lowassa ni Rais wa Taifa gani? Unaweza kukamatwa kwa uhaini wewe! Sisi tulimkataa, tumemkataa na tutamkataa. Urais atausoma kwenye magazeti tu period!
Maandishi huwa hayafutiki, sakata la Richmond mafaili yake yako salama kwenye makabrasha ya kumbukumbu...ila sijaona JK kahusikaje hapaWanadamu tunakuwa wepesi sana wa kusahau. Yaliyomtokea Dr. Mwakyembe baada ya Sakata la Richmond hadi akabadilika sura, tumeshasahau?.
Neno LAZIMA halikupaswa kiwepo hapo...Nanyi acheni majungu kwani hamjui kua unapozeeka lazma ukonde?
Alikuwa anavaa Bullet proof nzito ndo mana alikuwa anaonekana mnene..View attachment 382348 View attachment 382349 View attachment 382350 TUMUANGALIE AKIWA ZAMBIA KUSIMAMIA UCHAGUZI. JE HUU NDIO MWONEKANO TULIOUZOEA WA MH. KIKWETE?
haka kapicha kangewekwa hapo juu na mods kangeeleza zaidi.View attachment 382348 View attachment 382349 View attachment 382350 TUMUANGALIE AKIWA ZAMBIA KUSIMAMIA UCHAGUZI. JE HUU NDIO MWONEKANO TULIOUZOEA WA MH. KIKWETE?
Mwenye akili akiangalia masuala ya watanzania lazima achoke.
kumbe! Kama unafahamu vema tushirikishe.mnafiki mwakyembe alimtuhumu mamvi kumpiga kipapai cha kizungu,are you insinuating mamvi has done it again?!!!