Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Kinachomtesa Kikwete Ni Kauli Hii,
"KIKWETE AJIHUKUMU MWENYEWE" By Edward Ngoyai Lowassa
 
Wana ukumbi salaam.

Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.

Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....

Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431
Mzee ameshamsimika Lungu, sasa kazi anahamishia kwa mama Hilary Clinton, huyu ndio Mkwere democracy expert.
 
Ngoja tusuburi viongozi wa CCM watasema nini, maana walipakazia kuwa Lowassa hafai ni mgonjwa.
 
Pilipili iko shambani ninyi yawawashia nini? If you're really great thinkers why do you sit down and discuss some ones personal issues. Please let us discuss development issue as we most Tanzanians need much to know about. Acheni utoto humu jamiiforum, this is for Great thinkers only.
 
Acha ujinga wewe. Lowassa ni Rais wa Taifa gani? Unaweza kukamatwa kwa uhaini wewe! Sisi tulimkataa, tumemkataa na tutamkataa. Urais atausoma kwenye magazeti tu period!
Eti sisi, sisi, my foot!
 
Pilipili iko shambani ninyi yawawashia nini? If you're really great thinkers why do you sit down and discuss some ones personal issues. Please let us discuss development issue as we most Tanzanians need much to know about. Acheni utoto humu jamiiforum, this is for Great thinkers only.
Usisahau JK is a public good; lazima ajadiliwe tu, na mahususi kutokana na tabia yake ya vijembe na mipasho, atajadiliwa tu, maana kiendacho hurudi.
 
walisema lowassa ni mgonjwa sasa ngoja tuone mwisho wa hii sinema kwenda nje ya nchi kila siku tutajua tu nani ni mgonjwa.


swissme

Kweni Lowwasa ni mzima?
Mzee wa Msoga anafanya Mazoezi Na yuko powa kabisa kesho atakuwa New York City anakula bata.Nyie kashikeni au pandeni UKUTA Kwa raha zenu.
 
Back
Top Bottom