Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Ni kitu gani kimemsibu Kikwete?

Kwani Jk ni jiwe asizeeke?Hata hivyo huu umbea wa kujadlili maisha binafsi inahusika vipi na watu wenye fikra pevu?
 
Mnatakiwa kufahamu kuwa JK ni mtu mzima sasa, wala msitarajie ataendelea kuwa kama alivyokuwa. Ukiwa Rais kuna watu wengi wa kukuangalia, hata kuhakikisha kuwa unapotoka kwa umma una mwonekano mzuri. Sasa JK yupo kama JK, hakuna artificial appearance.
amekuwa mzee kuliko wazee waliomtangulia?
 
Jk kuna kitu kinamtafuna rohoni mwake si bure either hakujiandaa kisaikolojia na yanayotokea
 
Wana ukumbi salaam.

Kwa muda sasa tangu aondoke madarakani JK aliyesema sasa anakwenda lala usingizi mtamu anaonekana kudhoofu kuliko kawaida.

Nimemuona kikwete Mara nyingi sasa akiwa anaendelea kudhoofu kadiri siku zinavyosonga....

Mungu ampe afya njema Kikwete wetu maana anatia huruma sana!!!
View attachment 381431
Anateswa na dhambi ya kumkata Lowassa na aliyemtaka hakupita ndo maana mnamuona hivyo.
 
May be anapiga mazoezi,si unajua vitambi vimepitwa na wakati na vinazeesha?
 
Acha ujinga wewe. Lowassa ni Rais wa Taifa gani? Unaweza kukamatwa kwa uhaini wewe! Sisi tulimkataa, tumemkataa na tutamkataa. Urais atausoma kwenye magazeti tu period!

Raisi wa Ukuta bhana mbona unamshusha hadhi
 
May be majipu ya jamaa zake yanavyotbuliwa ma JPM yanampa mawazo
 
May be majipu ya jamaa zake yanavyotbuliwa ma JPM yanampa mawazo
 
Nani kakwambia watu wote wanachakaa namna moja?,kila mtu na mwili wake, ustahmilivu wake hutokana na vigezo(factor) mbalimbali za kimaisha kama mazoezi , lishe mazingira na aina ya shughuli aifanyayo mtu siku hadi siku
Kwahiyo wataka sema nini kwa JK ambaye ameondoka si zaidi ya mwaka amechakaa, Mkapa 10 years out hajachakaa?
 
Kwahiyo wataka sema nini kwa JK ambaye ameondoka si zaidi ya mwaka amechakaa, Mkapa 10 years out hajachakaa?

Hakuna kusema zaidi ya kutambua kwamba kila mtu anachakaa kwa kasi ya kipekee, wengine kasi zaidi wengine kasi ndogo, hayo ni majaaliwa ya muumba, pia unachokiona kuchakaa nje si lazima kimechakaa ndani pia nakilichokizima nje basi kikawa kizima ndani pia na kinyume chake.
 
Hakuna kusema zaidi ya kutambua kwamba kila mtu anachakaa kwa kasi ya kipekee, wengine kasi zaidi wengine kasi ndogo, hayo ni majaaliwa ya muumba, pia unachokiona kuchakaa nje si lazima kimechakaa ndani pia nakilichokizima nje basi kikawa kizima ndani pia na kinyume chake.
JK kachoka mapema mno.
 
Angalia video wakati akifungua mkutano Dodoma kisha angalia na picha hiyo!!

Hiyo picha imerushwa na vyombo vya habari huko Zambia so hawana sababu ya kuifanyia Photoshop!!
Hakuna haja ya kuphotoshop reality.....mzee amepungua
 
Back
Top Bottom