Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,465
- 4,678
Dar es Salam ni jiji ambalo biashara nyingi ni za kubangaiza tu kwa mtu mwenye mtaji chini ya million 5, maana gharama ya frame, stoo ni kubwa sana.
Mfano ukifungua duka la accecories za simu Dodoma/Arusha, kukua kibiashara ni rahisi kuliko kufungua duka kama hilo Dar es Salam. Watu wengi kwa Dar wana amini mahitaji yote watayapata Kariakoo kwa unafuu, so ukifungua duka la accecories za simu Chanika au Mbezi sidhani kama maokotoo yatakua makubwa (mtazamo wangu).
Ukisema ufungue nafaka Dar es Salam utakuta watu wanauza hizo nafaka kwa ukubwa wake, mfano Tandale, Mwananyamala,Tandika n.k.
Kwa jiji kama la Dar es Salam naona ni bora kuuza huduma (services) zaidi kuliko bidhaa (goods) kwa wingi ule wa watu hapo lazima pesa zikutembelee.
Ni mtazamo tu, wewe waonaje?
Mfano ukifungua duka la accecories za simu Dodoma/Arusha, kukua kibiashara ni rahisi kuliko kufungua duka kama hilo Dar es Salam. Watu wengi kwa Dar wana amini mahitaji yote watayapata Kariakoo kwa unafuu, so ukifungua duka la accecories za simu Chanika au Mbezi sidhani kama maokotoo yatakua makubwa (mtazamo wangu).
Ukisema ufungue nafaka Dar es Salam utakuta watu wanauza hizo nafaka kwa ukubwa wake, mfano Tandale, Mwananyamala,Tandika n.k.
Kwa jiji kama la Dar es Salam naona ni bora kuuza huduma (services) zaidi kuliko bidhaa (goods) kwa wingi ule wa watu hapo lazima pesa zikutembelee.
Ni mtazamo tu, wewe waonaje?