gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 14,277
- 17,749
Kikao kimeahirishwa na si kimeghairishwa,neno ahiri huenda limeazimwa kwenye kiarabu aakhiri(mwisho)Tumia neno Ghairi kwa kuelezea kama ni mtu mmoja Ame kama ni wengi Wame..
Kikao kimeahirishwa na si kimeghairishwa,neno ahiri huenda limeazimwa kwenye kiarabu aakhiri(mwisho)Tumia neno Ghairi kwa kuelezea kama ni mtu mmoja Ame kama ni wengi Wame..
Kikao?Hakuna cha hairisha au ahirisha, neno sahihi ni ghairi
Nime ghairi kwenda shuleTumia neno Ghairi kwa kuelezea kama ni mtu mmoja Ame kama ni wengi Wame..
Upo sahihi sana mkuu.Nime ghairi kwenda shule
Nime ahirisha kwenda shule
Ghairi inaonekana kama ni kitendo cha ghafla
Na ku ahirisha unapanga kwa kutumia mda na sio ghafla
Au nakosea?
Mkuu rudi primaryAhirisha
Mkuu endelea tu kunywa Jack DanielAhirisha ni neno sahihi likiwa na maana kusitisha jambo ambalo kuna uwezekano wa kulirudia
Hivi ni hujuaji au ujuaji?vijana wa siku hizi hujuaji mwingi kama suruali na mkanda. Hivi ni hawezi au awezi?. Hivi ni hawezi kuja au awezi kuja. Gen Z bwan.a. Tunakoelekea tutaanza kuulizana ni neno sahihi ni lipi kati ya xaxa au sasa.
Mzizi Wa Neno Ni "GHAIRI" Hapo likazaa Neno Ghairisha.... Mathalani kwa wepesi Wa matamshi Na uandishi likaja Neno HairishaHabari wataalamu wa lugha.
Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
Ghairi-Ghairisha-Hairisha....Ahirisha ni neno sahihi likiwa na maana kusitisha jambo ambalo kuna uwezekano wa kulirudia
Hivi ni hujuaji au ujuaji? UJUZI-UJUAJI
AghirishaSio kweli.
Kiswahili fasaha ni AHIRISHA
Bora katika matamshi itaeleweka, nikimsikia Heche anawema "kweri mmeerewa" simshangai kabisa ila akiandika "kweri mmeerewa" nitashangaa 😁
Au lafudhi inaenda hadi kuandika?? Sijawahi kuona Robert Heriel Mtibeli kaandika "thithi" badala ya sisi.
Halafu sijawahi ona mpare mwenye sauti nzito 😁😁 wote ni thethe thithi tu😂😂
Siku ukisikia naongea ndio utaelewa.
Naongea kithembe kile cha wapare wa gonja kabisa
ONESHA inatokana na Neno ONA.Onekana
Onyeshana🤣🤣🤣
Oneshana
Onya na hali kitu kuwa bayana yani kuonekana ina husiana vipi bwashee?ONESHA inatokana na Neno ONA.
ONYESHA inatokana na neno ONYA
Halafu sijawahi ona mpare mwenye sauti nzito 😁😁 wote ni thethe thithi tu
Waulize TUKIKikao?
Kumbe kihurio ndio wapo hivyo😅Umekaa na wapare wa Kihurio were.
Wapare ni gentlemen wengi wao. Achana na ufupi
Ngoja nikuache rafiki yangu Ingekuwa ni miaka ya tisini ningesema jana usiku ulikesha beach party . Beach party ilifungwa na serikali kati ya mwaka 1996 au 1997.Onya na hali kitu kuwa bayana yani kuonekana ina husiana vipi bwashee?