Ni "HAIRISHA" au "AHIRISHA"

Ni "HAIRISHA" au "AHIRISHA"

Ngoja nikuache rafiki yangu Ingekuwa ni miaka ya tisini ningesema jana usiku ulikesha beach party . Beach party ilifungwa na serikali kati ya mwaka 1996 au 1997.
Nafikiri umekosea ujumbe wako
 
nauliza tu wapare wengi ila sio wote huwa na roho mbaya makazini huwa ni utamaduni au nini hasa?

Wapare wengi hupendelea HAKI
Hiyo huwafanya wale wasiopenda Haki kuwaona wanaroho Mbaya.

Humu Ndani JF wapare wamejaa wengi Mno.
Embu toa mfano hata mmoja kama kielelezo cha mada yako.
 
Jamaa ni wabishi na wana maneno mengi nilikaa nao na ni marafiki wazuri sana

Wabishi kwa sababu unaongea nao mambo ya kawaida wanayoyajua.

Ukitaka kujua mtu mbishi elezea mambo ambayo hayajui ya kisayansi au kiuchumi, akibisha huyo Mbishi+ Mjuaji.

Wapare wengi ni Wasaka maarifa. Hivyo ukija na mada za kawaida watakusumbua Sana.
 
Wabishi kwa sababu unaongea nao mambo ya kawaida wanayoyajua.

Ukitaka kujua mtu mbishi elezea mambo ambayo hayajui ya kisayansi au kiuchumi, akibisha huyo Mbishi+ Mjuaji.

Wapare wengi ni Wasaka maarifa. Hivyo ukija na mada za kawaida watakusumbua Sana.
Hahaha wachaga tunawamudu vizuri tu
 
Wapare wengi hupendelea HAKI
Hiyo huwafanya wale wasiopenda Haki kuwaona wanaroho Mbaya.

Humu Ndani JF wapare wamejaa wengi Mno.
Embu toa mfano hata mmoja kama kielelezo cha mada yako.
Nakupa mfano kaka. Idarani kwetu wapo wawili. Mmoja ana cheo vijana wanafanya kazi vizuri tu lakini haki ya maokoto yao ya kihaki (OT) hawapi na wakienda kuidai wataipata ila baada ya hapo ni chuki nje nje
 
Nakupa mfano kaka. Idarani kwetu wapo wawili. Mmoja ana cheo vijana wanafanya kazi vizuri tu lakini haki ya maokoto yao ya kihaki (OT) hawapi na wakienda kuidai wataipata ila baada ya hapo ni chuki nje nje
Nakupa mfano kaka. Idarani kwetu wapo wawili. Mmoja ana cheo vijana wanafanya kazi vizuri tu lakini haki ya maokoto yao ya kihaki (OT) hawapi na wakienda kuidai wataipata ila baada ya hapo ni chuki nje nje
Nakupa mfano kaka. Idarani kwetu wapo wawili. Mmoja ana cheo vijana wanafanya kazi vizuri tu lakini haki ya maokoto yao ya kihaki (OT) hawapi na wakienda kuidai wataipata ila baada ya hapo ni chuki nje nje

Huyo ni yeye kama yeye.
Haihusiani na Kabila.

Tabia za kikabila ili uzijumuishe itakupasa ujue Mila, na desturi na tamaduni husika.
Je tamaduni za kipare zinawafanya wawe na Roho Mbaya kama unavyodai?

Nitakupa Mfano;
Wachaga utamaduni wao ni kufanya biashara. Na biashara inalenga Faida. Utamaduni wa kupenda faida umewajengea Tabia ya kupenda pesa.
Hivyo ukisema wachaga wanapenda pesa hautakuwa mbali na ukweli kwani ni Jambo la kitamaduni.

Wapare, na roho mbaya.
Mila za kipare msingi wake upo katika Haki.
Swali linakuja, je utamaduni wa haki unaweza kuzalisha tabia za roho mbaya kwa Watu?

Hata hivyo zipo tabia za mtu mmojammoja.
Mfano mtu anaweza kuwa Mchaga ila asipende pesa.
 
Habari wataalamu wa lugha.

Naomba kuondolewa utata kuhusiana na hili neno. Lipi ni sahihi "Hairisha" au "Ahirisha".
Maana siku hizi yanatumika yote na haieleweki lipi ni sahihi.
Tazama Kiswahili alichoandika huyu 👇 nanukuu mstari mmoja kati ya mingi "amekuja akiwa ana mawasiliano ya ndugu yoyote"

SmartSelect_20250629_083154_Samsung Internet.jpg
 
usitumie nguvu nyingi angalia mfano huu haipo na ipo inajieleza vizuri. lugha sahihi ni Hairisha. huwa tuna hairisha safari
Kizazi cha sasa hivi kina tatizo kubwa la kutumia H na A kwenye maneno. Utakuta wanaandika ''aina'' wakiwa na maana ''haina'' na maneno mengine mengi tu....
 
Huyo ni yeye kama yeye.
Haihusiani na Kabila.

Tabia za kikabila ili uzijumuishe itakupasa ujue Mila, na desturi na tamaduni husika.
Je tamaduni za kipare zinawafanya wawe na Roho Mbaya kama unavyodai?

Nitakupa Mfano;
Wachaga utamaduni wao ni kufanya biashara. Na biashara inalenga Faida. Utamaduni wa kupenda faida umewajengea Tabia ya kupenda pesa.
Hivyo ukisema wachaga wanapenda pesa hautakuwa mbali na ukweli kwani ni Jambo la kitamaduni.

Wapare, na roho mbaya.
Mila za kipare msingi wake upo katika Haki.
Swali linakuja, je utamaduni wa haki unaweza kuzalisha tabia za roho mbaya kwa Watu?

Hata hivyo zipo tabia za mtu mmojammoja.
Mfano mtu anaweza kuwa Mchaga ila asipende pesa.
Nashukuru kwa maelezo yako
 
SIO HAIRISHA WALA AHIRISHA
NI GHAIRISHA
HAYO ULIYOSEMA WW Ni uvivu wa waTz tu kutamka kwenye kamusi hayapo
 
Back
Top Bottom